take, hit and run....acha ujinga wewe, huwezi kuendelea kumpenda mwehu huyo...na kama hiyo ndo tabia yake nakuhakikishia ukimuoa mshua wako naye atamega... au humtoshelezi? maana inawezekana yeye anawashwa wewe unamwambia "subiri ndoa baby" soma alama za nyakati..
watu wengi huona aibu katika hayo wakiwa wazima wa afya...lakini ukiwa unatatizo linalokusumbua huna budi dada..but pole kama alikuchubua...siku nyingine muombe apake kidole chake mafuta kabla hajakuchomeka..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.