Huu ndiyo ukweli kuhusu Wabunge wa CCM. Wabunge hawa wengi wameingia kwa Rushwa tunao wengi wasio na elimu ya msingi unategemea nini?
Ndani ya Bunge wako Wabunge walioishia darasa la Pili mfano Mbunge wa Njombe Kaskazini. Je anauwezo wa kujenga hoja za kuisimamia serikali?
Wabunge wanapyaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.