kwanza,hujatueleza,wakati ukifanya mapenzi,je unamaliza hamu yako!!! kwa lugha ya mtaani unapiga bao!!kama hupigi bao basi unatatizo,au partner wako anakuwa,na haraka katika tendo la penzi,jaribu kuwa mtulivu au mtulize kwenye kufanya mapenzi,!!!
mtaalam yaani,shukran sana,kwa maelezo ya acid tumboni,kwa sasabu,mimi ni mgonjwa wa blood pressure,kila mwezi nikienda checking ananipa,dawa za bp na asprin,kwa ajili ya mzunguko wa damu,hebu nipe ushauri
nyumba ndogo,maana yake mke wa pili,kwa sisi wazee wanakwambia nenda kwa mamako mdogo,ndio nasi vijana tukanzaa kutumia nyumba ndogo,ila zengine kwa misingi ya dini,zinahalishwa,na dini zengine,NO,ndio zinakuwa za wizi,na kujulikana baada ya mtu kufa na amezaa mtoto,anakuja dai haki mahali...
bora wewe unayeangalia hela.kuliko wanaosema ilove you,kumbe she is a hell lair,men accept ladies who came for money,big up baby,ila all the world the is in recesssion lol!!
my quation is,where is sumatra,and who is the suveyor,who give the ols ferry to be sea worth and yet sheis unseaworth ,as for the snapss isaw yesterday for the ship at the beach.someone someowhere should answer this quation,where is the znz and daresalam,harbour master????????
KWA.
mtazamo wangu,kuna hisia za mke wako,yaani muko nae pamoja kwa mda mrefu,na mwanamke wa nje,simanishi waume tutoke nje,ikiwa waona mke wako hawajibiki kwenye tendo,basi inabidi wewe ndio uwe mtundo na mambo yatakaa mstari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.