Search results

  1. M

    Tuko tayari kuingia uchaguzi 2015 bila katiba mpya?

    Neno Tanzania toka lianze kutumika alijatimiza miaka 48, hiyo 50 inatoka wapi?
  2. M

    Wanzibar ni vigeuvigeu?

    ni kweli lakini..............................
  3. M

    John Mashaka: Our Nation and Morals under attack

    Kaka hapa inabidi ujiangalie tena unapozunguzia mila, tamaduni na desturi zetu kama taifa, ebu fika pale buguruni usiku uone wasichana wanavyojiuza kwa kupewa buku mbili, nenda bills au breakpoint uone siku hiyo ya jumamosi kama kuna watu walifunga biashara kwa sababu taifa lilipata msiba...
  4. M

    Rais Jakaya Kikwete aanikwa...

    when the hell is full, the dead will walk the earth
  5. M

    Kadhia ya VODACOM na Utaifa wetu: LUNDENGA Kufungwa Kengele Rasmi

    Ndo maana nasema aliyeanzisha mjadala kuhusu Vodacom ni cynical kabisa, na inawezekana anatumiwa kuhujumu hii kampuni moja tu,
  6. M

    Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

    hakuna jinis ya kukutofautisha kama zitto au zitto politician, hii inamaana ukiwa kama mwanasiasa huwakilisha hoja za uongo mahali unapokuwepo ndo maana unataka jamii ikutofautishe.
  7. M

    Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

    Zitto Kabwe kumbe huko cynical kiasi kaka mkubwa, jaribu kufikiri kuhusu mikataba na gharama zilizotumika siku hiyo, tunataka tuone uzembe uliofanyika huko zanzibar unachukuliwa hatua, hebu kumbuka ishu ya uwanja wa taifa na meneja mpaka leo kuna nini? mikataba mibovu ya umeme, trl, hizo...
  8. M

    Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

    Inasikitisha kuona mtu ambaye vijana wengi wanamuamii akianzisha mjadala huu kuhusu vodacom na tukio la ajali la zanzibar na kutaka watu waione vodacom kuwa hawana uchungu na wazanzibar, hivi kampuni hii sio ndio miongoni mwa za mwanzo kabisa kutoa sapoti huko zenj, zitto achana siasa za kitoto...
Back
Top Bottom