Search results

  1. P

    Nimemtega hategeki, huyu mwanaume vipi?

    Smile ulivyo mzuri ID na aveter yako naiomba mimi hiyo nafasi,mimba ni ndani ya siku moja tu,zingine itakuwa ni matengenezo ya njia,kama vp ni PM tu
  2. P

    Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

    Siku yakikukuta hurudi hapa hapa ili kutu uptodate.
  3. P

    Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

    Ila we Lizzy ni kiboko. Mwabalishe huyo,kuna jamaa aligongewa mke wake huku akishuhudia pasipo kujua nini kinaendelea,mpaka baada ya game kuisha yule mke akamwambia nini kilikuwa kinaendelea pale,jamaa aliapa kutomchunga mkewe.
  4. P

    Nikimwambiaga nimechoka ni kesi! Nipeni ushauri!

    Pole na hayo majukumu,starehe ni gharama sana. Kwa kukusaidia nipe contacts za ili niweze kuongea naye na kumpanga kisaikolojia,halafu akirudi kwako utaona mabadiliko.
  5. P

    Baada ya kufunga ndoa, ananikataza kutembelea JF

    Ehe!! wajameni kwa kweli JF ni chiboko
  6. P

    Big up crdb kwa simbanking

    Nashukuru mkuu,nimegundua kuna baadhi ya namba zimefutika kwenye kadi yangu ya benki.
  7. P

    Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

    Ni PM ili tujuane na mimi au unasemaje?
  8. P

    Big up crdb kwa simbanking

    Mimi nimejaribu kujisajili kwa njia hiyo ya *150*03#,nikafika mahala naombwa namba ya kadi ya benki,kila nikiingiza inakataa,kwa hapa ni namba ipi inayoitajika? Tafadhali msaada. In general what are the staps to be followed and what is needed?
  9. P

    Kujisajili crdb katika simu

    Is the service applicable to tigo pesa only? What about m-pesa( voda )? Otherwise I don't see the problem with the service as long as you will keep your details personal.
  10. P

    Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

    Marytina kwahiyo mlinyonyana ndimi tu na huyo wf yako au na vidole vilitumika? Vp kawf akajarudi tena kuomba game?
  11. P

    Siri ya mafanikio

    Above all,creativity is very important thing.
  12. P

    Manjonjo ya Dr Kimei wa CRDB!

    Wewe achana na fikra za kijinga hizo,nani kakwambia crdb ni mali ( benki ) ya umma? Kama wewe ni mfanyakazi na unaona ujatendewa haki basi mwaga wino. Upo hapo? :hat:
  13. P

    Hii nimeshindwa kabisa, nipeni maujanja!!!!

    Analake jambo huyo. Kwanini aipende ile harufu??? Angalia asije akasaidiwa na watu wengine.
  14. P

    Mama mkwe amegeuka kero kwenye ndoa yangu

    Kama yeye awezi kumuacha mume wake ambaye ameshakula chumvi nyingi,vipi wewe ambaye bado wote damu zenu zinachemka? Mpotezee huyo mama hana nia nzuri na ndoa yako,anataka kukualibia kwa Mr wako ili akuache,kwani utakapo enda kukaa naye kule kijijini,atafikisha ripoti mbovu kwa mumeo,kama uhamini...
  15. P

    Kikwete azindua mradi wa Umeme uliojengwa na Kanisa Katoliki

    Mbona upande wa afya hauoji? Ni hospitali ngapi zimejengwa na madhehebu ya dini,na nyingi zaidi na bora ni zile zilizojengwa na kuendeshwa na madhehebu ya kikristu:yawn:
  16. P

    Nape: Nilisoma kwa shida (Live channel ten)

    Baba yake hakupigania hili taifa,bali alikuwa mwambaji( kwaya ) kama alinyo komba. Mwl.alimpenda sana kwani alikuwa mwamasishaji mzuri ndani ya chama.
  17. P

    Mbinu chafu zaundwa na CCM

    tena kama akija kwako na wewe si mmoja wa hao magamba,vunja vunja ile meno ya sebuleni na kesi mwite kamanda Lisu na Marando watamaliza,zamani marehemu wa kisiasa Lamwai kwake ilikua issue ndogo sana.
  18. P

    Ununuzi wa mazao wakati wa msimu wa mavuno

    Hello to all guys. Ninajipanga kununua mazao(mpunga) wakati wa msimu wa mavuno kwani bei itakuwa chini,na baada ya miezi kadhaa nitauza,ila sina uzoefu na hii shughuri,msaada wa mawazo kwa yeyote mwenye uzoefu na hii shughuri please!!
  19. P

    Biashara ya Danguro..

    jamaa linaweza kupanda dau kubwa mara 2 ya mtaji uliyowekeza lakini linakutaka wewe tajiri hapo vipi? Hebu muogope mungu wa mababu zako,na hata mila na desturi zetu waafrika haziruusu hiyo biashara. Kama unamtaji wa kutosha nenda kwa Kameruni,kwani wewe ni mfuasi wake na utuondolee huo upuuzi hapa.
Back
Top Bottom