Ndugu wafuasi wa Uzi huu.
Napenda kuchukua fursa hii kuwaomba radhi kwa kushindwa kuendelea na Uzi huu kutokana na changamoto za kiafya zlilizonikumba kwa miaka mitatu sasa.
Mnisamee sana pindi nitakapo kaa sawa uzi utaendelea
Nilikaa miaka mitano mimi lakini nilikutana na kitu hicho Balaa.
Mara kimehonga hela za ndani. Mara kumeleta mwanaume ndani, mara mwanaume wake anatangulia kuja kula chakula home kabla yako akishiba ndio unaambia uje ule
Nilipigwa matukio nikasema ngoja nivumilie dah 3yrs nikatema bungo...
Binafsi naamini ili kuwe na ndoa ni Mwanaume kuamua kuoa. Na ili ndoa ife ni Mwanamke kuamua kuachika..
Braza unakuta mwanaume anapigwa matukio hadi anaona sikuoa kwa lengo la kuonja mateso lengo langu lilikuwa kujenga familia sasa kwa kuwa ni kisengerenyuma isiwe tabu. Nenda mama.
Nisaidie kumuuliza ni yupi bora na mwenye thamani kwake kati ya Yohana, Petro pamoja na yakopo ukilinganisha na Babu yake aliyemzaa baba yake kisha yeye kuzaliwa. Ni yupi bora kati yao Babu yake na hao akina Petro.
Ukimuuliza historia ya asili yake hawezi kuijua ila kajifunza ya akina Yakobo...
Nilikuwa natamani kufuga ila nikiwaza hizo gharama tamaa ime nikifu yaani Tafiti 2,700,000 NEMC 4,200,000. Kizimba kimoja cha 36 eneo la mraba 3,500,000 vifaranga 10,000 ni 2,000,000. Hapo huja weka Chakula tayar 11,400,000/- maana chakula pekee 11,700,000.
Hapa jumla kuu ni 23,100,000/- kwa...
Aliye muajiri Senzo ndiye aliye muajiri Barbra.
Unachotakiwa kufahamu Barbra hakufanyiwa Interview kama Senzo.
Fahamu anachokifanya Laliga na Senzo kwa pamoja ndicho alichokifanya Barbra pale Simba [emoji881], kabla Senzo hajaajiriwa.
Maana yangu ni hivi:-
Chukua vichwa vya Laliga, jumlisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.