Baada ya maoni ya kambi rasmi ya upinzani, wabunge wa upinzani waomba mwongozo wa kuahirisha mjadala na spika akataa hoja hiyo na kumruhusu mh kilango malecela kuendelea kuchangia hoja! spika hataki hata kuruhusu maombi ya mwongozo, my take nahisi alijiandaa kuhakikisha hapati upinzani leo, kama...
Haya kama mimi muongo tukutane jumatano saa tatu pale luther house, azania front. ila trust me huo ndio ukweli wenyewe sidhani kama kutakuwa na shortlist kwenye media!
nimepigiwa simu juzi ijumaa kutoka nssf nikitakiwa kwenda kwenye usaili jumatano luther house azania front. kwa hiyo sidhani kama watatoa shortlist kwenye media!
nice ideas, am on the move too for the same goals since employments seems had to catch i gues we better try our lucky in another way! i'll be happy to be one of the member of the union since we all seek the same destinations. contact me through dmgesi@gmail.com and i'll be happy to share with u...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.