Awali yalikuwa maamuzi ya hovyo kabisa! Kwa maamuz ya jana ni sahihi kwa mantiki kabisa! Vilevile Tenga anachofanya mie sikioni.... Kama makosa yamefanyika ndan ya kamati tena aliyo ichagua yeye hapo ninashaka na uongozi wake kabisa!
Utitiri wa vyama vya siasa sio ukombozi kwa watanzania! Mgawanyiko ndani ya CUF ilikuwa fursa nzuri sana kwa watanzania kuwa na upinzani imara, kwa maana chadema wamekuwa nguvu zaidi kwa upande wa bara ilingelikuwa vyema hao walio anzisha ADC wangeungana na CDM mie nadhani hapo tungekuwa na...
Kuna dalili za kutosha kwa wabunge wengi especially ccm kupoteza nafasi zao kama kutakuwa na uchaguzi mdogo tena ama uchaguzi mkuu wa 2015 na hii nikutokana na makosa mengi ambayo ccm imekuwa ikifanya na wabunge wengi wanajua lakin hawataki kubadilika.
Kama jimbo la Mtera njia nyeupe as if lipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.