sikonge japo hapa udini hauna nafasi,lakini bado huyu jamaa ni mkatoliki kama kwa mtazamo wako wakatoliki ndio best scholars. na kwa historia yake ambition yake ilikuwa kuwa padri
lkn pia tusimjadili mtu,hapa tunajadili ukilaza wake na namna alivyochemka
Lukolo! nimeiona mkuu! yaani dah!nashindwa ninune au nikasirike. nimeishia kucheka sana yaani. nafahamu sana kwamba huyu jamaa ni kilaza sana. hata wakati wa uteuzi wake mwaka juzi,tunafaomfahamu tulishangaa sana . lakini kwenye yu tube hii ukilaza wake umepitiliza. sijataka kuendelea tena...
mkuu muktadha uliopo hapa ni vurugu za waislamu zinazoendelea nchini hivi sasa. Hakuna cdm,mec,ccm,epa wala kagoda hapa. Hayo yana mjadala wake. Hapa tunaangalia na kumkumbuka mkapa kwa namna alivyodili na kuwashughulikia waislamu uchwala wanaofanya vurugu hivi sasa
hata kama hayo mengine...
mkuu safi sana ,hoja nzuri sana
tatizo la hawa waislamu,wengi wao badala ya kujenga hoja wanaishia tu kutukana
kwa mfano,badala ya huyo jamaa kukaunta agyu hoja zako nzuri anaishia tu kutukana
sasa hapo kuna elimu kweli. Viongozi waislamu tukianzia na marehemu omari juma hadi sasa shein
,vuai...
naomba msaada waungwana ,nikitaka kutuma new thread mimi binafsi nafanyeje? manake nina thread za kutosha ili sifahamu nianzie wapi. nimeishia kukoment za wengine
dah! Ebana eeh. Umenikumbusha mbali kidogo mkuu. Mi sijasoma mpwapwa sek. Ispokuwa nimefundisha mpwapwa ttc na mpwapwa sek nimefundisha kama nusu mwaka hivi. Nilikuwa pale kama part time teacher nikifundisha jografia one,alipokuja mwalimu full mwajiliwa nikasimama. Ni bonge la chama lile,wakati...
dah! Ebana eeh. Umenikumbusha mbali kidogo mkuu. Mi sijasoma mpwapwa sek. Ispokuwa nimefundisha mpwapwa ttc na mpwapwa sek nimefundisha kama nusu mwaka hivi. Nilikuwa pale kama part time teacher nikifundisha jografia one,alipokuja mwalimu full mwajiliwa nikasimama. Ni bonge la chama lile,wakati...
katikati ya miaka ya 80 suruali za mchelemchele , mawingumawingu, na za michael jackson(zilikuwa na picha ya michael ya album ya BEAT IT). Pia viatu vya skuna. Tuliozaliwa bara wakati huo kuja dar ni kama kwenda mamton au south. tumetoka mbali aisee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.