Maisha ya Somali ndani ya Tanzania
siku chache zilizopita tumeshuhudia matukio ambayo hayaeleweki kwamba ni Tanzania au Somalia ila nikapata majibu kwamba hayo ni maisha ya Somalia na tunaomba Mungu aepushe maisha ya namna ile kule Somalia wala sio huku Tanzania.
Ni nini kinatokea hapa...
Kama inavyojieleza hapo jipatie nyumba ya vyumba vitano IPO Arusha ,field force .
Kiwanja chake ni 20 kwa 20 unaweza pitia Ngusero au Field force .
Serious buyer PM
Ni asubuhi nyingine na mapema nimeamka natafakari mustakabali Wa Tanzania yetu.
Wakati Wa kuhakiki watumishi hewa kuna Mkuu Wa Mkoa alipewa taarifa zisizo sahihi Mama Kilango alijikuta anatumbuliwa On the spot. Kwa kweli iliwavutia watanzania kwa kasi ile isiyomithilika wala haikuhitaji...
Kiwanja chenye msingi Wa Gorofa kama inavyoonekana kinauzwa M 30 Kipo Shangarai Arusha .
Eneo lina ukubwa Wa 30 kwa 30 kama l inavyoonekana kwenye picha lipo barabarani . pm kwa mawasiliano .
Muda mfupi baada ya Mbunge Wa Arusha Mjini Mh G Lema kuachiwa mvua ya Mawe imelisafisha jiji la Arusha kama inavyoonekana hapo pichani.
Watu walikua wanashangilia kutoka rumande kwa Mbunge huyo aliyekaa ndani takribani miezi minne.
Maisha ya binadamu yanahitaji maono , maono ambayo watu wengine huyaita ndoto kuzifikia ndoto hizi huitaji kufanya kazi Kubwa kuzielekea.
Naam kutimiza ndoto ni maajaliwa ya mwenyezi Mungu nami ndoto yangu ya kuwa Rais Wa hii Nchi ikitimu nitajitahidi sana kufanya Yale ya msingi kuhakikisha...
Rais wa CWT, Makamu wa Rais wa CWT, Katibu Mkuu CWT na Mweka Hazina wa Taifa wa CWT. Ninapenda kuwajulisha kuwa nimepokea barua mbili kwa njia ya baruapepe kutoka Tamisemi.
Barua ya Kwanza imetoka kwa Katibu Mkuu wa Tamisemi iliyokiri serikali kupokea hoja saba za CWT...
Huwezi kupqmbana na wauza madawa ha kulevya ukiwa na wewe ni mchafu yaani una madhaifu tena yanayoonekana waziwazi ndio maana hata Mh. Rais alijitahidi sana kuhakikisha anakua na timu ya watu ambayo ni wasafi kwa kiasi kikubwa.
Suala la kuwa na mafisadi pia ni la kupigwa vita ndio maana kuna...
Matokeo ya kidato cha pili yametoka na inaonekana Shule za private zimeendelea kushika usukani sasa swali ni je Wakuu Wa Shule wataendelea kutumbuliwa ?
Naona M-PESA inasumbua toka Jana watu tunajaribu kununua Umeme ila inakataa nafikiri ni tatizo la network walirekebishe haraka.Hii inaleta usumbufu kwetu Wateja.
Matatizo mengi ya hii Nchi yanaanzia kwenye kitovu cha ubadhilifu Wa fedha za Taifa hili isivyo halali kupitia shirika la umma TANESCO iwe kwamba kashfa hizo zinadhibitika au la lakini hapo kuna shida Kubwa inayohitaji watu wapya na kwenye weledi Wa kizalendo .
Bila hatua hizo kuchukuliwa...
Tumeendeleza mifumo iliyowekwa na wakoloni enzi na enzi hatujafikiria wala kuthubutu kuibadili mifumo hiyo iendane na Sera za Nchi kwa kipindi Fulani.
Elimu yetu ninavyoiona inahitaji mabadiliko makubwa mno vinginevyo tutashindwa kuwashawishi vijana wetu waendelee kuwejeza kwenye Elimu na pia...
Hilo limetokea jumapili iliyopita nimenukuu kama ilivyo hapo.
Ndio tunatakiwa kuwa waangalifu maana ni hatari mno.
"Kijana akiiba leo Kanisani St. Albans katika Ibada ya Pili. Dada aliyebiwa anasema alimhisi kwa muda ila alipoangalia na kukuta kaibiwa alishindwa kupiga kelele kwa kuheshimu...
Kama tunakuja na vipande vipande vya miswaada kama huu Wa habari ambao unawataka waandishi kuwa na walau Bachelor Degree nafikiri turudi kwenye ile rasimu ya katiba ya warioba .
Ilizungumzia hata viwango vya Elimu vya wabunge na mawaziri kwa kipindi hiki ingefaa mno.
Unapotaka Dereva awe na...
UJUMBE MUHIMU KWA NAMBA 767xxxxxxxx: Tuma neno GO kwenda 15544 SASA na ushiriki kwenye droo ya TZS 100,000,000 LEO! Vodacom KAMATA MPUNGA!
Hiyo kitu inakera mno kila baada ya muda naona SMS imeingia unakuta ndio hiyo ya kamata mpunga hawa wabadilishe utaratibu wao hii ni kerooooo au tuhamie...
Kumekua na usumbufu sana kwenye mifuko ya jamii hasa pale inapotokea mfanyakazi amestaafu anahitaji fedha zake. Utakuta inachukua hata miaka akizungushwa tu bila sababu za msingi.
Hili suala ni kero isiyovumilika kuna Mzee mmoja alipata shida sana watoto wamerudishwa nyumbani kutoka vyuoni...
Niameandika kichwa cha habari kwa kutumia lugha ngumu maana lugha laini ya ushoga imezoeleka na haichukuliwi kama ni lugha stahiki kuelezea uchafu husika.
Watoto wetu tunaowapeleka kwenye hizi Shule za boarding wakiwa bado wadogo Mara nyingi hukosa uangalizi Wa kutosha kutoka kwa Patron au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.