Habari za fikra sahihi
mada yangu inalenga kufahamu vigezo vinavyotumika kupima umaskini,ila nitahadharishe kwamba, katika kuchangia tusiegemee vigezo vya uchumi na vile ulivyofundishwa darasani tu, tujaribu kushirikisha fikra sahihi juu ya hii mada.
KARIBUNI....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.