Ningekuwa mkuu wa kaya ningemteua Dkt. Kimei kuwa mkurugenzi wa shirika la ndege baada tu ya kununua ndege mpya. Wote tunajua crdb ilipokuwa na ilipo leo hii...nakumbuka taarifa za 2011 crdb ilikuwa miongoni mwa makampuni yaliyoongoza kulipa kodi baada ya TBL na TCC. iliizidi hadi barrick...
Kama unakiri kuwa serikali iliyopita ilishindwa maana yake ni kwamba CCM ilishindwa. Kikwete hakuwa mgombea binafsi bali alikuwa chini ya chama cha siasa. magufuri akishindwa ni CCM imeshindwa. haya maneno ya serikali ya magufuri si sahihi hata kidogo ni serikali ya CCM. Kimsingi magufuri...
Kwani JPM siyo kilaza? mtu una Phd huna uwezo hata wa dk5 za kufoka kizungu!!! ajitoe kwenye mboni ya jicho lake kabla ya kuwatoa wenzie...angekuwa makini angewaacha hawa wamalize ndo afute hii program.
Huyu rais kama atakuwa anakurupuka katika baadhi ya maamuzi tutalia muda mfupi tu...fanya utafiti utajua ni kwanini expts wanalipya zaidi na hata wao wanatofautiana ukizingatia std za taifa husika.
Umenena vema, kazi yake ni kwenda kuisimamia serikali bungeni ili ilete hivyo vitu na siyo yeye kwa pesa yake eti afanye...matokeo yake hivi vitu vinakuwa siyo endelevu na ktk baadhiya majimbo kama bukoba mjini mbunge akishindwa uchaguzi ujao anawanyang'anya vitu vyake.
Ni lini Tanzania itapunguza sikukuu zisizokuwa za lazima na kuongeza muda wa uzalishaji kama wenzetu? leo tumeongeza sikukuu ingine ya kitaifa ya kuwaapisha marais!! je, hili ni sahihi ktk taifa masikini kama hili? naendelea kuwaza kwa sauti nikiona taifa langu likirudi lilikotoka enzi za...
Wapendwa,Mimi nina kazi kwa wataalamu wa Accountancy/Business database. Nina duka langu la electronics equipment ambalo lipo Arusha lakini mimi nipo Mwanza hivyo kuna vitu vinatumwa na kuuzwa huko huko hivyo Napata shida sana kila baada ya miezi miwili naenda kuhesabu na kutoa ili nijue ni...
Ahasnte Lucky Sabasaba...naomba kama unajua base ya Revenue ya simu wanayotumia TRA unisaidie maana utakuwa umeokoa muda wangu wa kufuatilia hili jambo kwa TRA. na maanisha wanabase kwenye bei ya kununulia au wanafanyaje na hiyo kodi ni asilimia ngapi?
Kwa wenye uzoefu naomba kufahamu kama ukinunua simu 100pcs na ukazitoa kwenye mabox yake na kuziweka kwenye begi ambalo unasafiri nalo kama mzigo (cargo) na kushuka nao hapo Dar airport kuna kufunuliwa na TRA na kuanza kuombana ushuru? Otherwiz Goodchance jiandae kunitembeza hapo Dubai soon...
Kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwafanya watu wanunue zaidi magari yenye umri usiozidi miaka 8 ili kulinda mazingira na kupunguza ajari....sasa unadhani kwa huo mkakati anapunguza kuingiza magari mazee au anachochea uingizani wa hayo magari? na hayo mapya usiombe watu wakaanza kuingiza yale made...
Jana waziri wa fedha akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya 2014/2015 pamoja na mambo kadhaa yanayoleta utata, alirejea kwenye sintofahamu iliyowasilishwa na Mgimwa katika bajeti ya 2013/2014 na kukataliwa na TRA baada ya kuona haikuwa na tija kiuchumi na hata kimazingira. Haihitaji madarasa saba...
Ni Tanzania tu ambapo mgeni anaweza kuingia akaishi mwezi mzima akila, kuvaa, kutibiwa na akalala kwa kutumia USD!! hii ni hatari sana. Nakubali kuwa CCM katika awamu hii ya nne hawana vision wala malengo ambayo waziri anatakiwa kuyasimamia. Haiwezekani tumekuwa na mawaziri kama akina Zakia...
CCM na SPIKA nimeiona siasa ya kupambana na majanga ya Wizara ya Nishati na madini ambayo yamekuwa yakitokea kila mwaka....nimeiona list ya Spika iliyoanza kuchangia...ha ha ha ni Majembe ya porojo ya CCM pale mjengoni ili wavuruge kabisa hoja za Mnyika. Ila kiukweli Mhongo anajitahidi...
Mimi nashawishika kuliona taifa letu kama mtumbwi unaopigwa na mawimbi ya bahari na kila abiria anahangaika kivyake wakati nahodha tayari amechukua boya lake akielea baharini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.