Hivi karibuni tulimsikia katibu wa itikadi na uenezi ndugu polepole akisema kuwa Rais Magufuli hafurahishwi wala hapendezwi na mjadala unaoendelea wa watanzania kutaka kuongeza muda wa urais.
Nataka nimkumbushe jambo moja rais wangu kuwa katiba huwa ni maamuzi ya watu/ watanzania sio maamuzi...
Maelfiu ya wakazi wa jiji la Arusha Kata ya Kimandolu wamejitokeza kupiga kura kumchagua diwani wa Kata hiyo baada ya diwani wa kata hiyo kupitia chadema kuhama na kwenda ccm baada ya kuridhishwa na utendaji wa Rais John Pombe Magufuli.
Utambue kuwa uweza wa baraza la madiwani/halmashauri upo ltd kwa baadhi ya mambo, hupanga kutokana na mapato ya ndani wanayokusanya mambo mengine ni hisani ya seriksli kuu
Utambue kuwa uweza wa baraza la madiwani/halmashauri upo ltd kwa baadhi ya mambo, hupanga kutokana na mapato ya ndani wanayokusanya mambo mengine ni hisani ya seriksli kuu
Wananchi walimtuma akawapelekee shida zao bungeni kama kuna baya limetokea basi achaguliwe mwingine ili awapambanie maendeleo , na ikumbukwe mimi au lissu hatutaishi milele, hivyo tusiwe na jazba,
Hapa kinachoongelewa ni kuangalia kundi kubwa la wanasingida Mashariki wanaohitaji maendeleo hasa...
Usihukumu kwa huruma hukumu kama sheria inavyotaka, kuhusu mke wangu, mimi ni mkatoliki sheria yetu inasema ndoa itatenganishwa na kifo tu, kuhusu hili la tundu lissu sheria ipo wazi kabla hata sijazaliwa
Kutukuza lugha ya watu ni utumwa, Lugha ya watanzania ni Kiswahili mbona mataifa makubwa kama china hutumia lugha yao kwenye mikutano ya kimataifa, na kiswahili ni moja kati ya lugha kuu 6 duniani, na kwenye vikao vya UN unaweza kuongea kiswahili kikatafasiriwa kwa lugha tofauti tofauti kwa...
Tunaomba mtu wa kutuwakilisha bungeni na si vinginevyo, tunahitaji na sisi maendeleo hatuna mtu wa kutusemea bungeni, by the way tunamuombea mbunge wetu apone
Sisi wananchi wa Singida Mashariki tunaomba jimbo litangazwe uchaguzi kwa kuwa hatuna Mbunge anayewakilisha jimbo letu.
Mbunge tuliyekuwa nae ni mgonjwa zaidi ya miezi 4 na sheria ipo wazi kama mbunge atakuwa mgonjwa kiasi cha kushindwa kuwahudumia wananchi wake jimbo litatangazwa kwa ajili...
Alichokipanda lema ndicho alichokivuna kata ya Muriet, wananchi wamesema ujasiri aliowafundisha hauwasaidii katika kujiletea maendeleo yao, salama za 2020
Kwa matokeo ya uchaguzi wa awali Kata ya Muriet jimbo la Arusha mjini mpaka sasa CCM inaongoza kwa 73.6 %.
Hii ni message tosha kwa wananchi wa jiji la Arusha kuwa Godless Lema hatakiwi . wananchi wameridhishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.