Dah!nimesoma hii kitu yako mkuu inaumiza kweli lakini yote ni mapito ndo yanakufanya kuwa imara zaidi..Mwombe sana Mungu ndiye faraja yako kwa sasa na utasahau pole sana
Wewe jifanye ----- sahizi akurudishie pesa yako kwanza maduu wapo wengi tu tengeneza pesaa bwana kwanza hawa viumbe watakuja tu.....ukumbuke kuleta mrejesho....lakini uwe umepata pesa kwanza....
Wakuu poleni na mapuziko wakati huo huo napenda nitoe pole zangu kwa wanafamilia wote wa JF kwa kumpoteza mwana JF mwenzetu ndugu yetu Mohamed Mtoi ni habari mbaya kiukweli si habari nzuri kwa wote wapenda mabadiliko hata kwa wale wasiopenda mabadiliko...baada ya kupata taarifa ya msiba wa huyu...
dah! aise hapana sijaamini kiukweli hadi sasa hii si habari nzuri kabisa kuisikia my God Mtoi dah!nimeumia sana kusikia hii habari jamani dah! Eee we Mwenyezi Mungu mpokee mja wako na umpuzishe kwa Amani.Pumzika kwa amani kamanda Mtoi
Bila shaka inawezekana mda huu ukawa umeshalala au bado una peruzi peruzi huko na huko kwenye mitandao ya kijamii mbali mbali Dr.Slaa tumesikia na kuaminishwa kwamba hapo kesho nikimaainisha badae maana ni siku nyingine sasa mda huu ninavyoandika hapa ni 12:57 usiku... utaenda kuzungumza na...
dah!hawa wapinzani ni shidaa....wacha ccm waendelee kwanza...hata kama makubariano mengine hamjaafikiana lakini si kipondi cha kufanya maamuzi kama hayo kiukweli inasikitisha na kuumiza sana....bado upinzani una matatizo makubwa nchii hii....
Hahaha!haha!mkuu umeniacha hoi sana kiukweli....hasa hapo kwamba huku hakuna kubembelezana wala kuongea kiupole inabidi achamke sasa na atoe sauti ya kikamanda anavyoongea...Huyo inabidi Lema ampe tuition kwanza...kabla hajaingia mzigoni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.