CCM kwishine, mipango yenu ni tasa kwa sababu chama kina wanachama wenye sifa zifuatazo; 1. wasiojua kusoma na kuandika. 2. wagonjwa wa kudumu 3. ombaomba 4. wafanyakazi wasio na sifa stahiki ktk maeneo yao ya kazi. Hawa ndo wanachama wenu.
Pamoja na kuwepo kiwanda cha sukari bado sukari bei juu mkoani Kagera kilo moja sh 2500, piakupatikana kwa sukari mkoani humo ni vigumu ambapo watu hulazimika kupanga mstari kwa ajili ya kununua sukari kwenye maduka ya Wahindi.
Uwezo wake wa kuchambua mambo kwa kina ni mdogo sana, pia hiyo ni sifa moja wapo ya wabunge wa ccm wana sifa ya uhusika bapa hawabadiliki kulingana na mazingira.
1. mara zote mfanye mwalimu mwoga kwa serikali na chama. 2. Mlaghai kwa WITO na si kipato. 3. Mfundishe kuwa mpole asidai haki. 4.Mfanye asiajiliwesekta nyingine ili umtumie. 5.Mtumie kwenye chaguzi na sensa ajione bora 7.Msifie kila siku avimbe kichwa 8.Weka viongoziwa chama CWT ili...
tunaomba jina la mkuu wa wilaya aliyetoa tamko tukamnyonye mavi,warudishwe ccm akimaanisha kuwa watarudi kwa kuonesha kadi au?huyo najua atakuwa Nnape ndiye mkuu wa wilaya mwenye akili matope kuliko wote,na wakifanya vile wajiandae kufunga chuo kizima maana hilo lazima tuliashughulikie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.