Mwigamba: Namshukuru Mungu kutuletea Rais Kikwete
NAJUA msomaji unajiuliza maswali mengi ndani ya sekunde chache za kusoma kichwa cha habari cha makala yangu ya leo.
Mojawapo ya swali muhimu unalojiuliza ni kama hii kweli ni Kalamu ya Mwigamba ndiyo inamshukuru Mungu kwa kutupatia Kikwete...
Ahhhhh, ahhh! unafikiri ni kwanin waarabu wameshindwa kuindoa Israel kwenye Ramani km wanavyoota kila siku? Mungu (Yehovah) yuko pamoja na Israel, ukubali au ukatae huo ndio ukweli. mwenye akili atakubali, mpumbafu atakataa.
Kinachokusumbua ni udini tu,. ukweli mmepungukiwa sana katika kufikiri. bahati mbaya hauwezi kushaurika kwa njia yoyote. kwa sababu unafikilia sunna tu
Imeandikwa, Mungu hawezi kujaribiwa na uovu. kamwe usije ukamshauri mtu kutenda dhambi kwa makusudi sababu tu atatubu. " Mungu si mwanadamu" kumbuka hilo.
Acha ushirikina ndugu. hautakusaidia kitu. huyo sheikh amekufa pamoja na uchawi wake, kumbe we bado unamkumbuka? inawezekana ulikuwa mteja wake wewe. ushirikina hautakiwi hapa, hatutaki utabili wa kishetani, wala majini ya sheikh marehem yahaya hapa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.