Hakuna mtu yeyote mzima na mwenye akili timamu anaeweza kuihama CHADEMA na kujiunga na CCM, otherwise wawe watoto kama ilivyozoeleka kwa CCM ama ikawa kama ule mchezo wa mwizi kujiibia ili apigiwe kelele za mwizi na roho ifurahi.
Right MTAZAMO,
Kuuzwa kwa GAS kwa China Si tatizo endapo itakuwa bihashara kama nyingine lakini zenye maslahi kwa taifa na watu wake. Kikubwa ni mkataba uwe wazi ili tusije kuingia katika mikataba feki Kama mingine iliyo na inayozidi kupoteza rasilimali za taifa bila ya kuwa na faida halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.