Kwa ufungaji viremba (GELE) design tofauti tofauti vya kwenye sherehe, karibuni sana.
Pia tunafundisha kufunga Gele na kufanya make up.
Kufungwa Gele:25,000
Kufundishwa kufunga Gele kwa siku 2:200,000
Makeup simple kupakwa:30,000
Kufundishwa makeup kwa siku 5:200,000
Makeup kwa Maid's:50,000...
Kwa ufungaji viremba almaarufu kama Gele, Karibuni sana kwa anayetaka kujifunza, natoa mafunzo hayo, na anayetaka kufungwa popote ndani ya Dar nitakufuata kukufunga.
Kufunga Gele Kitaambaa chako:25,000
Kufanyiwa make up Simple:30,000
Make up ya bibi harusi:160,000
Make up kwa kila Maid's...
Ladies and Gentelmen,
Leo tuangazie jinsi ambavyo tunaweza tukatunza Ngozi yenye mafuta hasa usoni.
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa naitwa Kitumbua,hii nikutokana na uso wangu kuwa na mafuta sana, inafikia kipindi hata nikawa nakata tamaa kupaka hata poda.
Ilikuwa kila baada ya dk chache...
Habari wana JF,
Kheri ya mwaka mpya wana jukwaa pendwa lenye maendeleo kwa kila anayepita hapa.
Mwaka huu nimedhamiria kufungua duka/fremu la vitu vya kila aina kwa jinsi zote( ke/me), lakini pia vitu vingi vitakuw dukani kwa order za wateja na vingine vitabaki dukani.
Tatizo linakuja pale...
RECIPE SAFI SANA YA DENGU HIZI ZA AINA YAKE
MAHITAJI
240gram Pigeon Peas ( Dengu)
1/4 tsp Turmeric (manjano)
720 gram maji masafi
3 kijiko kikubwa cha chakula samli (Ghee)
1 kitunguu kikubwa chop chop
1 nyanya ya kuiva kubwa chop chop
1 kijikon kimoja cha chai binzali nyembamba
2 pili pli kavu...
Wakuu nauza gari hiyo,
Mataili yote mapya yana siku 4
Shockup zote zimebadilishwa.
Betri mpya
Boll joint zomebadilishwa .
Bushi safi kabisa
AC inafanya kazi.
Matengenezo: Pale mbele kwenye plate number ya gari pamebonjea kidogo .
Cc 1990
Mwaka 1999
Number: AZM
Engine: S3
Kilometers: 107163...
Muda mfupi tu uliopita Spika wa bunge kwa mamlaka aliyopewa na Bunge na Rais wa Jamhuri wa Muungano, amemtangaza Ndugu Kassimu Majaliwa kuwa ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano ya Dk.John Pombe Magufuli.
Je, ulikuwa unalijua hili?
Tupate historia fupi ya Waziri Mkuu mteule:-
-
Majaliwa...
CADET Hizo safi kabisa kutoka UK,
MATERIAL: COTTON
SIZE: 32-36
PRICE: 75,000
SHATI safi kabisa kutoka UK
MATERIAL: COTTON
SIZE: L-XXL
PRICE: 40,000
POCHI Hizo kazi kwenu wakina mama na kina dada
MATERIAL: NGOZI
PRICE: 65,000
VISWETA Hivyo safi kabisa, unaweza kuvaa popote pale na...
Wakuu hamjambo, poleni na shughuli za kujenga taifa.
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nahitaji mashamba kwa ajili ya kilimo cha Matikiti maji, Shamba ambalo pia litaendana na zao lenyewe, mazingira na hali ya hewa.
Nataka nianze kilimo hichi as soon as possible.
Kwa yoyote aliye na...
Napokea order, baada ya wiki mbili mzigo utakuwa tayari umeshafika Dar.
1-75,000
2-70,000 (Kikoti ,vipo rangi nyeusi na nyeupe)
3-50,000
Kwa mawasiliano zaidi,
0752661896.
Karibuni sana.
Habari wakuu,
Napokea oda ya mzigo wa saa kwa wale wanaohitaji, jumla na rejareja. Mzigo unatokea Shenzhen- China.
Baada tu ya kutoa oda yako, utaletewa mzigo mpaka ulipo free of charge.
Saa hizi ni imara sana, kuanzia mikanda mpaka betri.
Jumla kuanzia piece 10 ni 15,000/-
Rejareja ni sh...
Maswali:
Je ni kweli kwamba Rushwa imeshindikana kuizuia au kuikomesha kabisa kuanzia chini mpaka imefikia mahali hata vyombo vya dola wanashindwa kuidhibiti?
Inawezekana wanasiasa hasa chama tawala ndio wanaoikuza Rushwa, na hivyo kushamiri kwa kiasi kikubwa kwetu?
Swala la Afya na Elimu ni swala nyeti sana hasa kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania.
Je miaka yote hii 53, ya uhuru tunaishia kutamani tu tufikie level fulani, ni sahihi? Nini hasa kinakwamisha tushindwe kufikia malengo?
Je haya yanayohaidiwa sasa yana tofauti gani na yakioahidiwa miaka 53...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.