Kirahisi rahisi maana yake nini labda! Kumbuka hawa wanaendesha biashara kulingana na taratibu na kanuni kwa mujibu wa sheria za nchi. Ndio maana ukiibiwa simu lazima uanzie polisi kama unataka taarifa za simu yako. Ukijipeleka hutapata msaada
Kukulindia SIRI hakukufanyi kua Mhalifu, kumbuka nao wanaendesha biashara kulingana na Sheria na kanuni za Nchi. Inapobidi na kwa kufuata kanuni na taratibu ushirikiano watatoa kwa amri kama inavyotakikana.
Mzembe gani anachezea zaidi ya 50K kwa wiki!? Mzembe gani anachangia 18% katika pato la apatacho...
Ndugu kama huna Fani/Burudani ingine bora ukae kimya... Ushaambiwa huku watu wame invest.
Unadhani kampuni zote za betting hz wanapata hasara!? Kacheze hata Mdako basi ujenge afya...
wangapi wamethubutu hata kujaribu kufanya hicho kidogo ku justfy fact inayosimama!!! Tunaambiwa tembo wameuliwa sjui wamebaki 100, sawa akasema hebu tuwahesabu.. akapata idadi ya 300. Taarifa inatoka wako 300 then tunaanza choko choko sjui wamezaliana au wamehamia toka huko mafichoni au wameota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.