acha kujifanya wewe yani hapa ndio umeona wa kuwaidi watu wanaojiburudisha kwa cm za bei na uwezo wa laptop vipi wewe nimesema
badilisha jina haraka sana unatoa pumba hapa.
badilisha jina sasa hivi mana hujui saikilojia wew wadada wanadanganywa nani kakwambia wewe unatongozwa hapa jf unakubali unategemea nini
kama sio kuvuliwa chupi na kuachwa unatanga hapo na umeishika mkononi unajifanya una huruma kama kweli nia yako kusaidia mimi naku pm
akaunti ili unitumie...
usitufanye sisi hatujasoma saikoloji akina dada maskini walivyo wengi umekosa huko unakoishi sasa kama nia kusaidia maelezo ya miaka ya
nini kwanza wa kusaidia uwakute jf na tayari wana pesa ya kutumia net katafute uko mtaani usitubabaishe na uongo wako.
nachukia pale mtu anapo nikejeli na leo jf invisible kaniudhi moja kwa moja yeye kafuta post zangu mbili saizi nimetoka huko malaria sugu
kaanzishiwa post na mtu mwingine leo hii nimeona post zaidi ya 4 za kuzungumzia watu wa jf alafu mimi naambiwa zimetolewa kwa ajili ya name
calling wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.