Kuna Jamaa aliajiriwa pale kama Finance Director anaitwa Godfrey Temba. Ni kijana ila alijishau akapata ulevi wa madaraka akagombana na vijana wote kwa adha ya wivu na madaraka. Vijana tuache visa kwa kazi za watu, hii ni dunia inapita tu.
Nani anajua yuko wapi huyu mtu??
Nadhani mtoa mada ni BOLD kama anavyojiita mwenyewe. Kwa kazi anayoifanya nilitegemea awe na weledi wa hali ya juu ya kuweza kuchambua mbichi na mbivu. Consultant anaeweza kupata tender world vision na asie na uelewa kama mheshimiwa BOLD ni hatari kwa taifa la nchi.
Kuongelea ukabila kwa...
Serikali imelala naona inaanza kuamka.
Inabidi serikali itambua hata ikulu kuna watu wamechoshwa na maovu ya serikali. Hicyo habari zitapatikana tu....
Ndugu wabunge..Mimi nina mengi sana yakusema ila leo natoa hoja moja tu.
1.Tanzanite gemstone kwasasa hazisafirishwi nje ya nchi hadi ziwe processed hapa hapa Tanzania, Tanzaniteone Mining walikuwa wana export Tanzanite with Zero VAT, sasa Tanzanite inauzwa nje ikiwa tayari iko...
Kaka Mwigulu: I salute you.
Nakumbuka hekaheka zako toka ukiwa Mazengo school za kupata nafasi za kisiasa kama ubunge na uwaziri naona unanukia.
Naomba nikuonye Mr. Mwigulu Nchemba, Amini yakuwa watanzania wa leo si wa enzi za nyerere, watu wameamka na wana upeo wakupembua mbivu na mbichi...
Nimesoma hii makala machozi yakanitoka....!
Ila nawahakikishia hayo ni 0.1% ya mambo yanayofanywa na CCM.
Naomba niwajuze..mimi nimfanyakazi hapa Tanzaniteone Mining Ltd.
Toka nimekuwa madini nyetu yanapelekwa nje kwa nia ya transfer prices.. yanaenda Dubai, South africa, Dubai, Bermuda...nk...
Ni ajabu sana kwani kila kijana anaejitahidi kimaisha ananunua silaha arusha.Hata wale wanaojiita wanaapollo wana silaha sasa mwaka ukipita hajapata Tanzaniate wanatumia silaha kuvamia na kuiba.
I don`t buy the idea kwamba kuwa na silaha ni maendeleo.......
Natamani siku Moja wan CCM watoe hatuba kama hii.
President Rupiah Banda
I HAVE CALLED THIS PRESS CONFERENCE TO SAY A FEW WORDS. THE ELECTION CAMPAIGN OF 2011 IS OVER. THE PEOPLE OF ZAMBIA HAVE SPOKEN AND WE MUST ALL LISTEN. SOME WILL BE HAPPY WITH WHAT THEY HAVE HEARD, OTHERS WILL NOT.
THE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.