Kwa kweli nchi inapoelekea sipo ingelikua chadema au chama kingine,police wangemvamia na kumuweka katika mahojiano lakini kwa kua ni ccm inaonekana ni sawa tu jee? tutafika kweli au ndo wanaonesha ubavu wao ila watambue hata gadafi amegonga mwamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.