Kitendo cha madaktari hawa kinaonyesha udhaifu uliopo katika fani za wataalam wetu ambao wanafanya kazi bora liende bila kuweka mbele taratibu na kanuni za fani zao. Tunaiombea roho ya marehemu amina.
ikithibitika amefanya hivyo ninafikiri sheria itachukua mkondo wake bila kujali ni mtoto wa nani. kwa mfano angelikuwa ni wakili mtoto wa mlalahoi ingekuweje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.