Tumewasikia ndugu wana UTPC. Wasiwasi wetu rupia inaweza kupenyezwa na ikawa ndio mwisho wa jambo hili.
Ila ninachukua wasaa huu kuwaasa ndugu wana habari, hususani viongozi wa UTPC, kama jambo hili hamtalichukulia kwa uzito wake au mkaruhusu rupia kuwapumbaza basi dhambi yake itawatafuna...
Jumatatu Asubuhi katika Kipindi cha Power Breakfast kinachoruswa na Radio Clouds...Mtangazaji mmoja (sina uhakika ilikua ni sauti ya PJ au Gerald Hando) aliongea maneno makali sana kuhusu Dr. Ulimboka.
Maneno ya kumdhalilisha, kumkashifu, kumfanya aonekane hana maana katika jamii, aonekane...
Jamaa anajiweka karibu na Wamerekani akifikiri wanaweza kumsaidia endapo mambo yatakwenda mrama hahahaha. Anatakiwa ajifunze, Americans have neither permanent friends nor permanent enemies but permanent interest.!!
Hapa kuna walakini, vinginevyo kamanda Lissu atujuze sababu za kitaalam zilizopelekea Komu kuamua kufungua kesi hiyo Mahakama ya Dodoma badala ya Mahakama ya A. mashariki. Tujuzwe jamani tusije kuwa na mawazo yasiyozingatia taaluma....
Mimi nafikiri NHC kuna mambo mengi ya kuangalia zaidi ya hizo Nyumba......Sidhani kama CAG kapita huko vizuri na kama kapita Taarifa zinasemaje? Ifike mahali haya mashirika ya Uma yatolewe report zake individually. Huu ujenzi tunaouskia kila siku mara Medeli, Mara Mindu, Mara Ubungo nina shaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.