Search results

  1. S

    Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

    Replacement itasababisha a little reshuffle ya cabinet
  2. S

    Lowassa kizaazaa; Boda boda wakinga jaribio la kudhulumiwa ujira wao

    Fitina mbaya, kiuhalisia huwezi honga makundi ya watu kila mkoa na usimulikwe
  3. S

    Umri wa kustaafu kwa mfanyakazi serikalini

    Hebu tujikumbushe: kwa mujibu wa sheria za nchi hii, muajiriwa wa serikali anatakiwa astaafu akiwa na umri gani? Mawaziri, wabunge, majaji na wengine wote waliopo kwenye ajira, umri wao unaruhusu?
  4. S

    CCM ikifanya haya itakuwa imezaliwa upya na watu wengi watarudisha imani iliyopotea

    Hivi ile sheria ya mfanyakazi akifikisha miaka 60 anatakiwa astaafu kwa mujibu wa sheria serikalini haipo kwa watangaza nia?
  5. S

    Magufuli,Ubabe katika shughuli za Serikali umepitwa na wakati!

    Sasa na hizo bumps (matuta) zipo kisheria? Ama ni maamuzi tu ya mtu / kikundi cha wahuni tu, tujipange kisheria kuishtaki serikali kwa kutuharibia magari yetu kisa bumps kwani sheria hazipo za mwendo wa kasi?
  6. S

    show nyingine 31 May 2013 clouds wanahusika

    Ladies and Gentleman
  7. S

    Dr. Asha Rose Migiro aagwa rasmi Umoja wa Mataifa (UN)

    MDG's by 2015 kuwa 50% and one of them is to empower women's
  8. S

    Mbunge Zambi ashitakiwa mahakamani

    Tatizo ni Zambi ama alieteua Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi, halafu tatizo lipo wapi kwakuwa sasa ni soko huria
  9. S

    Dr. Asha Rose Migiro aagwa rasmi Umoja wa Mataifa (UN)

    Aliomba mwenyewe kutokuendela mpaka 2015 aje kujenga mazingira natimu ya kampeni na kujiandaa kwa ajili ya 2015 kwakuwa angekaa mpaka muda huo asingepata muda wa kujiandaa unajua M4C nayo inakuja vibaya
  10. S

    Posho za Wabunge na Maisha ya Dodoma

    KAZI KWELI KWELI Hivi tunawezaje kuishi kwa matumizi yafuatayo kila mwezi? Fikiri, matumizi nyumbani: chakula, umeme, gesi, maji, soda/juisi za wageni. Ada za watoto zinazolingana na za chuo kikuu. Matibabu hospitalini, pesa ya walinzi kwa mwezi, sherehe za kuaga na kukaribisha mwaka mpya...
  11. S

    Jaribio la kuiba dhahabu katika mgodi wa Geita (GGM) lazimwa

    Kuiba ni kosa kubwa sana kama ilivyo kwenye vitabu vya dini cha kusikitisha ndege imetua porini bila hata ya Serikali ya Wilaya/ Mkoa ama Serikali Kuu kuwa na taarifa na hakukuwa hata na TRA ama afisa biashara wa Wilaya kutathmini ni kiasi gani kinachoondoka na thamani yake, Rada iliyonunuliwa...
  12. S

    Tusimlaumu spika bure..........cv yake hii hapa,angalia education background....

    I dont think so for what you conclude to Madame Speaker, Mungu amemuumba binadamu na karama nyingi tu, apart from Eimu inayomsaidia mtu kuweza kuwa na kifra zaidi ila kuna Hekima na Busara havina shule, Madame speaker ana mtazam o wa kueleweka, ana fikra, ana busara na anapenda changamoto, sasa...
  13. S

    Serikali kuanika vigogo wa Madawa ya Kulevya bungeni

    kama kuna evidence mhimili wa tatu Mahakama inafanya kazi gani? kwani wabunge ndio nani?
  14. S

    Posho na Mishahara ya wabunge...

    Kama Sheria zitaruhusu basi wabunge wa ccm washtakiwe kwa kuhujumu uchumi, pamoja na bajeti je makadiria na matumizi ya Bunge yanajukikana?
  15. S

    Posho na Mishahara ya wabunge...

    Mbunge ni mwakilishi wa jimbo kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya sasa ya TZ, Mimi napinga uchukuaji wa hiyo posho kwakuwa wan mishahara na allowances walizojipangia kwa kanuni zao bila kufuata mwongozo na kanuni za serikali. Tumeambiwa wamekopeshwa Sh 90m kila Mb toka Serikalini na...
  16. S

    Huu ni uzembe wa viongozi MSD

    Sawa ripoti ya Mkaguzi inasema hivyo ila alichambua kiini cha tatizo? Wenyewe MSD wanasema hizo zilizoharibika ni zile zilizotolewa msaada na wafadhili zikaja changanywa na stock za kwao walizokwisha nunua unategemea nini? Ilitakiwa serikali kuwasiliana na MSD kuitaarifu jamani kuna msaada na...
  17. S

    Huu ni uzembe wa viongozi MSD

    tusilalamikie MSD kwakuwa na wao wana mipango yao ya kazi ya mwaka mzima, sasa wameandaa budget wamenunua dawa kutokana na mahitaji na wakati huo huo Serikali imepokea msaada wa dawa toka kwa wafadhili na labda zinazokaribia kutumika (mambo ya misaada!) Wanasema peleka Bohari Kuu zikatunzwe...
Back
Top Bottom