Search results

  1. B

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    Hivi ninyi mko hapa mnamsubiri nape mkitegemea atarudi? thubutu! pengine keshampigia simu mnyika kuomba yaishe maana ataumbuka
  2. B

    DC Mbarali apigwa mawe, anusurika kifo!

    hivi vyeo kupeana tunalia kila siku vifuwe,havina tija kabisa
  3. B

    Dokta Slaa aitisha Press Conference Iringa!

    mbona kasepa? isijekuwa chai
  4. B

    Ripoti Maalum: Utetezi wa Tundu Lissu (MB) mbele ya kamati ya Haki na Maadili ya bunge

    kwenye hoja nzito kama hizi huwezi kuwaona bongo lala wachumia tumbo wa Nape, Ritz na rejao, wote wamekimbilia jukwaa la mapenzi.
  5. B

    Mwenyekiti wa CUF, viongozi wa CCM na wanachama zaidi ya 890 wahamia CHADEMA

    Mjomba nimerudi baada ya kunisababishia ban ya miezi sita, vp wap ff mbona simuon? naona bado hujabadlika sasa hiv nategemea unisababishie life ban
  6. B

    M4C ndani ya Ndanda ~ Masasi

    big up kwa team ya ushindi Mungu atawalinda kwa ajili ya watanzania
  7. B

    Kazi za Dr Slaa Kusini zawasisimua wengi

    nimeshindwaga kabisa kuelewa baadhi za akili za watanzani hawayaoni haya, kama ziko sawa?hiv kwa nn ubinafsi umewajaa? Ritz na rejao wafikirini ndugu zenu vijijini msiridhike na viposho mnavyopea na nape kuweni na utu
  8. B

    JF ninaomba sala zenu leo ni kura za maoni!

    tatzo chama chako kimefungiwa dunian na mbinguni, hivyo hatujisumbui kukuombea maana sala haitapo haitopokelewa
  9. B

    Namhusudu sana MBOWE!!

    ndio wa kwanza kuasisi u kamanda wa anga wakamponda sana ila sasa kila chama wanaiga
  10. B

    Namhusudu sana MBOWE!!

    huyo ndiye aliyeasisi ukamanda wa anga, magambaz wakauponda lakini sasa ndio wanaiga
  11. B

    Kwanini wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA hawamuamini tena Zitto Kabwe?

    Hakuna siri ktk UTANDAWAZI,, kuhusu Zitto ni kwamba aliteuriwa kuwa mwnykt wa kamati ya madini akaenda na wenzake kwenye migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu huko Synyng wakagawana kazi yeye kaenda peke yake Buzwagi mgodi ulio na matatizo ya ufisadi hatimaye wakamtuliza kwa kumpa rushwa. Inaaminika...
  12. B

    Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

    Rais JUHA ni aibu kwa Taifa..................Ivi CCm ikipigwa chini 2015 makada, viongozi wa chama nao mafisadi watakimbilia WAPI??????
  13. B

    Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

    Tatizo sio Rais ila ni Wananchi Wake waliomchagua, ndio maana hawa walio teuriwa kuwa mabalozi walikataliwa na wananchi lkn bado wapo madarakani.
  14. B

    Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

    Dah hii ni zaidi ya balaa............ Kwani JK hakuwaona wengine adi hawa walioexpire. kweli hii ni serikali ya kishikaji. AU inawezekana mkuu wenu huyu hakusoma Philosophy 111 (critical thinking and argumentation)
  15. B

    Kikao kati ya CHADEMA na Serikali (Ikulu) chaisha, makubaliano haya hapa!

    vipengele vipi vitaongezwa! je inaruhusiwa kuongeza au kupunguza vipengere vilivyopitishwas na bunge? makamanda watakuwa wamepigwa changa la macho
  16. B

    Haya ndio afande alisema na leo anarudi kufanya kazi na hawajamaa

    huyu ni msaliti alichokisema hapa hakukionyesha kwa vitendo kwani alihudhuria shoo ya clauds
  17. B

    Kombani na Lissu Live on Star TV

    Nawasubiri ritz,FF,Mwita25,rejao nione michango yao katika hili ili nijue akili zao vizurio
  18. B

    J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

    sijawahi kukuona hata siku moja ukiandika point,akili zako zimekaa kimasaburisaburi tu
  19. B

    J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

    we faiza wanaume wakiongea we mfuga maziwa kaa pembeni...
  20. B

    Polisi Central Arusha: Shangwe na wimbo wa Taifa vyarindima

    hongera mzee naona unajitahidi kujaza pumba ili upate post nyingi
Back
Top Bottom