nimeshindwaga kabisa kuelewa baadhi za akili za watanzani hawayaoni haya, kama ziko sawa?hiv kwa nn ubinafsi umewajaa? Ritz na rejao wafikirini ndugu zenu vijijini msiridhike na viposho mnavyopea na nape kuweni na utu
Hakuna siri ktk UTANDAWAZI,, kuhusu Zitto ni kwamba aliteuriwa kuwa mwnykt wa kamati ya madini akaenda na wenzake kwenye migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu huko Synyng wakagawana kazi yeye kaenda peke yake Buzwagi mgodi ulio na matatizo ya ufisadi hatimaye wakamtuliza kwa kumpa rushwa. Inaaminika...
Dah hii ni zaidi ya balaa............ Kwani JK hakuwaona wengine adi hawa walioexpire. kweli hii ni serikali ya kishikaji. AU inawezekana mkuu wenu huyu hakusoma Philosophy 111 (critical thinking and argumentation)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.