Kuna hasara nyingi sana kwenye forex. Forex si ya mchezo. Kuna maonyo mengi sana kwenye forex kama maonyo ya pombe na sigara. Wengi pia wanaathirika kisaiKolojia kwa kupoteza hela nyingi. La msingi ni kufuata maelekezo yanayotolewa kabla na wakati wa kushiriki forex, kitu ambacho wengi...
Kuna watu wagumu sana kuamini. Sasa tunaomba mtuache tuchume kimya kimya mana tukiongea wanasema tunapigia debe DECI. Sitautangazia umma tena bali nitakuwa nikichagua watu wa kuwaeleza fursa hii
Mwanza mbona walikuja wakafanya training ya wiki moja na wameshamaliza? Sasa wako Arusha. Maybe watarudi tena huko. Mi ni mhitimu wa TMT na si sehemu ya waanzilishi wa TMT
Unajua nini? Watu walikuwa wakila kimya kimya kwa miaka mingi mkuu. Walikula sana! Na kiukweli hawakutaka watu wapate hizi taarifa hapa bongo kwa kuwa wanaona watu wengi wangefaidika. Binafsi nami sikupenda pia kushirikisha watu kile nilichojifunza na nunachopata ila imenibidi.
Ontario ambaye...
Losers wapo ila ni kwa uzembe wao. Hawafuati kanuni za biashara na kuishia kula loss. Ila uzuri ni kuwa huwa wanatambua makosa yao kisha wakaenda tena kufund akaunti zao na kufuata kanuni na taratibu
Ila kwa upande wa pili wametokea watu ambao ni matapeli wakitumia jina la TMT vibaya kwa...
Hapana, Thomaso. Forex si utapeli. Ni kwamba tulikuwa kwenye ujinga na tulipopewa taarifa na maarifa tukaondoa ujinga huo. Sasa kwa kina nyie mliopewa taarifa na kuzigomea na kupuuzia maarifa ndio mnaingia kwenye kundi la wapumbavu.
Sitakuwa na mameno mengi sana kwani picha inajionyesha yenyewe hapo. Piga mahesabu. Nilianza na usd300 na leo tayari nimeshawithdraw usd1000. Yaani shilingi milioni 2 na ushee. Kazi kwenu wadau kuchukua hatua. TMT is there for u kukupa elimu hii ya forex. Msiseme hatukuwaambia. Hiyo ni akaunti...
Jamani mimi leo nimewithdraw sh 565,000/- leo tena hela imetumwa kwenye acc ya fnb usd 750. Kesho nadraw na kufanya yangu. Sina nia ya kuongopea mtu. Just imagine 2m. Na akaunti yangu ya forex ina zaidi ya 2m.
Trust me, forex pays. Ila sio ya kuvamia kichwa kichwa. Inahitaji kuielewa.
Huu ujumbe hapa chini ni wa kitapeli na hauna uhusiano wowote na kampuni ya TMT ambayo inajishughulisha na mafunzo ya forex kwa sasa pamoja na kuwawezesha watanzania hasa vijana kujikwamua kutokana na kufanya biashara ya kuuza na kununua sarafu mtandaono
Kuna watu wenye nia ovu wanaotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.