Tanesco kwa kweli mmejua kutuweza watu wa arusha manyire na maeneo ya jirani... leo umeme umekatika for 12 full hours saa name usiku wa kuamkia leo ukarudi saa nane mchana, ukakaa masaa matatu saa kumi na moja jioni ukakatika tena mpaka sasa.. tuliwakosea nini??? Au sisi sio wananchi na...
1. nilimkuta bikra kabla sijamuoa.. lazma nikiri kwamba tulishiriki tendo kabla ya ndoa.. ni vibaya ila inatokea kwa ulimwengu wa sasa. ila alikua bikra wakati naanza kugegedana nae enzi za uboyfrend .
2 hapa naweza kusema tunaendana na hatuna shida mkui.
3. tumejuana zamani saana tangu...
Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili,
Ni kama miezi mitatu imepita tangu nimefunga ndoa na mke wangu.
Tatizo nililonalo, mke wangu huwa kama vile hataki tufanye, nilitegemea kwa upya wa ndoa hii walau kila baada ya siku mbili nipate kukidhi haja ya mwili kwa tendo lile takatifu lakini inafikia...
Nawasalimu wote humu ndani wakuu,
Nimepanga kufunga ndoa takatifu tarehe 25,02,2017 wiki mbili kutoka sasa na mimi na mpenzi wangu tumeona ni vyema twende South Africa kwa ajili ya honey moon, nilikua naomba ushauri kwa waliowahi kufika huko, ni sehemu gani nzuri za kutembelea wapi tutaenjoy...
habari za muda wakuu.
nilikua nimepita pita huku na kule, nikawa nafikiria kuanzisha hii biashara maeneo ya usa river arusha. naombeni ushauri wakuu, kwa wale wenye experience kuhusu biashara hii... ups and downs zake, positivity na negativety zake...
what to do kuwin market na competation...
Wakuu habari zenu.. Natafuta nyumba yenye self contained bedroom, sitting room na kitchenete maeneo tajwa hapo juu.. Iwe na maji.umeme na paRking pia. Offer yangu ni 200,000 shs... Msaada tafadhali.. Number yangu ni 0785131616. Shukran wakuu
i expect mwenye mali zenye sifa hizo hapo juu ndo atakua na bei ya mzigo,,,my budget is private since nimeshataja specs nnazotaka,,, soo i expect iwe kama tender process flani,, kila anaekuja aseme anaweza kussuply mzigo kwa kiasi gani cha fedha, n ill choose the best offer
wadau salama?
kama kichwa cha habari kisemavyo, im looking for a powerful laptop, preferably apple, au sony vaio... hardisk kuanzia 500 gb, ram up to 8gb, processor ya core i7, na graphics nzuri,,,, iwe na lighting kwenye buttons, na prefarably screen size ya 15 inches na kuendelea.full size...
asante mkuu kwa kunionyesha njia iliyo sahihi,,, seems to me wewe ni mtu mzima, na mwenye experience na maisha ndo mana upo strict na straight,,, asante kwa ushauzri mzuri na naahidi kuufanyia kazi,, b blessed
asante kwa ushauri mzuri dada neggirl,,, naona ushauri from wadada na baadhi ya wakaka unajenga zaidi kuliko wakaka wengine, mtu anakwambia umkabidhi mchumba wako akusaidie kumbikiri,, huo ni ushauri kweli?? Dah,,, nafurahishwa sana na watu kama nyie
kuhusu kuzibuliwa kwa sasa noo,, nimeshaprove kwa njia zote ulizotaja hapo,, labda kama atabadilika badae, ambapo hapo ndo ilikua wasiwasi wangu mkubwa mkuu,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.