Hakuna kitu kibaya Kama kuwaamini watumishi wa chini yako halafu wao wakakudanganya!!
Najisikia vibaya Sana kwa Rais wetu kudanganywa na wasaidizi/washauri wake
Kuna paragraph nimeona kuwa Rais ametoa fedha kwa waliokuwa wastaafu wa shirika la posta na simu na waziri ameelekeza fedha hizo zitumike kuimarisha shirika.
Naomba Kama nipo sahihi nifafanulie maana ya hiyo hela badala ya kupewa walengwa imeenda kuimarisha shirika. He, hao wastaafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.