Search results

  1. D

    Rais Magufuli anastahili kuenziwa kama Mwl Nyerere na siku yake ya kuzaliwa iwe sikukuu ya kitaifa

    we we si umesema huna kadi yoyote ya chama... mbn kama unavyutia upande wa CCM.. bila shaka ni kada damuni Ngoja sisi tuonekane Chadema ila binafs siongelei siasa kwenye jambo la kusherehekea siku ya kuzaliwa. sijui kama kuna nchi yoyote inafanya haya mambo
  2. D

    Rais Magufuli anastahili kuenziwa kama Mwl Nyerere na siku yake ya kuzaliwa iwe sikukuu ya kitaifa

    Ahahhaaahahaaa, akikutukia naomba na mm hiyo namba. nikikomboe kijiji chetu
  3. D

    Rais Magufuli anastahili kuenziwa kama Mwl Nyerere na siku yake ya kuzaliwa iwe sikukuu ya kitaifa

    Wangesema watu wachague wazazi wewe ungekimbilia kwa Magufuli maana unamweheshimu kama vile ndo Mungu wa pili. Umesahau kama unawazazi na kuona rais ni bora kuliko mtu mwingne yoyote. Hiki ni kipindi cha mpito atapita ataenda asubir na kwenda alipoenda Nyerere ndo hayo mengine yatafata. Usiwe...
  4. D

    Rais Magufuli anastahili kuenziwa kama Mwl Nyerere na siku yake ya kuzaliwa iwe sikukuu ya kitaifa

    k kwan huo ujenzi anatumia ela yake... mtanzania gan wewe ambae hujui wajibu wa kodi unazotoa..
  5. D

    Kufikia 2020 maadui watatu ambao ni ujinga, umasikini na maradhi watakuwa ni historia Tanzania

    Umesema kitu kikubwa sana. Kweli ni jukumu la kila mmoja ambae anajijua n mtanzania
  6. D

    Kufikia 2020 maadui watatu ambao ni ujinga, umasikini na maradhi watakuwa ni historia Tanzania

    Nimechekaa sanaaaaa, ujinga upo tena ndo umezidi kwa kasi kubwaa mi naona watoto sahivi ndo wamezidi ujinga sana kwa sisi tulio na naisha ya chini. Umasikini ndo bora ya kikwete tulikua tunakula mara tatu kwa siku ila sahivi mmmhhhh. Maradhi ndo yanazidi kuibuka tena zaidi ata mboga za majan...
  7. D

    Maelezo rasmi kuhusu ajira za TANESCO kwa wale waliosailiwa

    m mkoa gani mkuu...?? na nafasi gani walizoitwa. mi nafaham madereva tu na siyo mikoa yote ndo walioitwa.
  8. D

    Sitongozwi, nini tatizo?

    Uwezi olewa na mtu usiemfam kwa karne hii. kama we maisha yako ya kimtandao utapata mtandaoni, na si kwel km hutongozwi. unatongozwa ila unatakaa et sitaki wa mitandaoni...,,!!!!! mahusiano ni njia ya kufikia ndoa ukiona hapa sipo anaacha unatafuta mwingine.sasa utaazeeka
  9. D

    Sitongozwi, nini tatizo?

    ahahahh aaaahhhh, alisahau kama watu ni wale walio hum ndo wapo mtaan, maofisin, fb, wasap, na mitandao yote ya kijamii. pia wengine n marafiki zake kabisa wa karbu. ila bint unaonyesha ni selective sana.
  10. D

    Maelezo rasmi kuhusu ajira za TANESCO kwa wale waliosailiwa

    umejaribu kwenda kuulizia au kuuliza wezio waliofanya usahili
  11. D

    Maelezo rasmi kuhusu ajira za TANESCO kwa wale waliosailiwa

    unamaanisha wameshaita tayari..
  12. D

    Naomba updates za Interview ya TANESCO

    mmmhh ni kweli jaman..????? mana mimi nimefanya dodoma ila wanasema bado hawajaita ata mtu mmoja. tena tuliofanya itavyuu ya oral wote tunawaliana na hakuna ata mmoja alieitwa.
Back
Top Bottom