Kwa uendeshaji huu lazima hatua zichukuliwe kudhibiti hili. Wenye mamlaka wanalichekea kwa kigezo cha wapiga kura ila ni hatari kwa usalama wa taifa na maendeleo ya nchi huko mbeleni
Kuna mama mmoja alikua kila akija home kusalimia anapitiliza moja kwa moja chooni. Hii ilikuwa sio tabia ya kawaida. Na akiondoka tu home lazima mtu aumwe au fedha zitume kwa jambo lisilokuwa na mwanzo . Kuna siku moja amelala na watoto wa kike chumbani akaanza kuzunguka kitanda usiku huku yuko...
Kosa la kwanza lilikuwa kuhama ikulu ya Dar na kwenda Dodoma, Kumbuka yaliyomkuta mwendazake kule Lindi kipindi tu ndio kasema kahamia Dodoma
Kosa la pili ni kuapishwa Dodoma badala ya DSM.. Kuna mafungamano makuuu ikulu ya DSM na uwanja wa Uhuru na urais kwa kiongozi aliye madarakani.
Roma ikesema imesema. Huwezi kubishana na Askofu aliyejitoa na kuacha ya Dunia ukashinda. Viongozi wa kiroho huwa wana sala ya mwisho tofauti na viongozi wa dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.