Great Thinkers wanataka watu wasifanye kazi badala yake wawe wanasoma JF, halafu wanataka maendeleo. Great Thinkers mnachekesha, manataka JUA au MVUA ?
Fareed inaelekea huna kazi ya kufanya ndio maana kila siku unakesha kuhesabu safari za Rais, wewe ulitaka asifanye kazi zake za uraisi ? Kwa kweli unaboa
Fareed inaelekea huna kazi ya kufanya ndio maana kila siku unakesha kuhesabu safari za Rais, wewe ulitaka asifanye kazi zake za urausi. Kwa kweli unaboa
Kwani Lema ni mbunge au Mfanyafujo ? Mlokole anayehamasisha Vurugu, "HERI WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU"
Lema mrudie Mungu wako acha kufanya kazi za shetani
Nachukua fursa hii kwa niaba ya wanahabari wote kumtaka Ras Jah atuombe radhi kutokana na matusi mazito aliyotufurumushia kuwa tumenunuliwa na PPF ili tusiandike madudu yatakayofanyika huko.
Kwa kweli sikutarajia Ras Jah atoe matusi hayo kwa kuwa kwa muda mrefu amekuwa akituletea kazi mbambali...
Nachukua fursa hii kwa niaba ya wanahabari wote kumtaka Ras Jah atuombe radhi kutokana na matusi mazito aliyotufurumushia kuwa tumenunuliwa na PPF ili tusiandike madudu yatakayofanyika huko.
Kwa kweli sikutarajia Ras Jah atoe matusi hayo kwa kuwa kwa muda mrefu amekuwa akituletea kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.