Tz simama nishuke, nahisi nimefika. Nahisi km nipo kwa babu ta ta taa!
Next month baa zote kufunguliwa weekend tuu saa kumi na mbili jioni kufungwa saa tatu usiku. Saa tatu usiku kila mtu awe kitandani kwake.
Acha jamaa afanye tuu! Wabunge walishazoea kujibu maswali kisiasa, ukiiangalia hiyo video ya huyo mheshimiwa inatia hasira. Inawezekana kipindi mzee wa kaya akiwa Waziri nae alikua anapewa order"sign hapa, wape hawa kazi etc etc" so sasa ananyoosha pale alipopaona pans shida cos saivi...
Toka juzi naona TBC wakati wa taarifa ya habari ikirusha kampeni za mgombea wa Arumeru mashariki kwa kupitia tiketi ya CCM ,naomba kueleweshwa hapo coz i am puzzed jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.