Kweli kuna vijana wanatumia mitaji yao vizuri, Mungu kamnnyima sura kamnyima elimu lakini kuna kitu kapewa, sasa huyo mama kakiona hataki kukiacha.
Punda alinyimwa pembe akapewa masikio, akapewa na mlio wa milele na milele.
Unajua kuna uigizaji, uchekeshaji na utani. Sasa huyo stive ni muigizaji na muonyesha utani, mtu unaweza ongea masaa mawili usicheke.
Stive hawezi mfikia hata yule mkenya chokoraa trick sana.
Hao wako si wanaume ni wavulana, jaribu mwanaume siku moja uje na mrejesho. Kama mwanaume yupo kwenye normal mode kawaida goli halitakiwi kuwa chini ya nusu saa, idadi pia inategemeana na aina ya K unayokula, kuna nyingine unaweza piga hata saba nyingine moja tu kisha unasepa.
Hii stoy kama vile ilianzia facebuku kisha bahati mbaya ikaja maliziwa huku. Maana haionyesho mwanzo tunaona lawama tu kwa wa swidish, haya huyo jasus kaima twiga wangapi huko oman ( eneo kubwa la loliondo liko chini ya ufalme wa oman)
Azima gari nzuri kwa jamaa kisha nenda nalo, usimuombe na mba ya simu wewe mpe zakom ikifika saa nne usiku hajakupigia au sms, huyo achana nae, akituma sms au akipiga, umemaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.