Tangu mwenda zake haondoke huyu jamaa kapwaya kiutendaji sana Tena sana!! Kwa maoni yangu anamuhujumu Samia, hakubaliani nae kabisa. Mama shituka Kuna genge Serikalini linakuhujumu likiongzwa na PM, katibu wake akiwa Angelina Mabula! Mratibu mkuu ni Mkamba jr
Uchaguzi huu bado ni mugumu sana, tume yenyewe mpaka sasa hawajiamin, subr kuanzia kesho makombola yatakayovurumishwa, hamtaamin, wengi humu nawasoma tunawaacha,muda unaongea! lissu anajua nini anakifanya, hata kipara mwenyewe huko aliko aamini kbsa nin kitatokea kuanzia kesho! tuombe uzima.
hakuna kuunga mtu hapa, ulishasikia zitto aunga mkono mgombea yoyote wa cdm tangu kampeni zianze? lissu alifungua milango kule zenj, akina zto wakaunyuti, kila mtu abebe wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.