ha ha ha, mmenikumbusha wakati niko olevel apo Songe kabla haijawa girls, iyn kariakoo tulikuwa tunaiita kariashingo ndo ilikuwa base ya watolo wote, ukitoka mjini kama huna parmit unashukia hapo upite chocho ili kukwepa main gate.
Dah! Unajua sio wote wenye uwezo wa kuandika na kupanga mawazo yao ata kama ni mazuli like u did, big up mkuu, kuna muda uwa natamani vijana wote wa Tanganyika wangekuwa member wa JF Ili nao wapate fursa ya kujua kiundani kabisa jinsi nchi yao ilivyobinafsishwa, inauma kiukweli, Thank you God...
Motor Combart, Sunset beach, ila kiboko ni ile ya sokwe wa kwenye msitu wa Gombe staring akiwa Fifi umo ndani utakutana na wakina Kipara Mc Regan, ucpime kabisa ITV ya enzi izo
Hivi mnaomuombea uyu jamaa apone mnadhani Mungu ni mtanzania wakudanganywa na t-shirt na kofia? Let him gate what anachostahili, kaua wa2 wangapi? Kazurumu wangapi? Leo taifa halina hela ye na wenzake wanatibiwa ulaya ni mpiganaji kweli huyu au mwizi tu?
Real mkubwa, niko Mwanza nafanya biashara za Nairobi, Kampala, kiukweli wakenya wanajua maana ya kazi yao, wabongo wengi kwenye hii kazi ni wale wa kamlete so anakuwa kazini kwa nguvu ya uchi, unategemea hiyo huduma bora utaipata hapo?!
nyie wa2 wa dar mnapenda sana mteremko ndo mana mkihongwa na ccm vi ubwabwa maharage na kapakti ka nazi za azamu mmadhani maisha yanaishia kwenye sinia, sa mnalia nini na 200? Wakati si tuna mia nane kamanga kwa mia 3 misugwi lakini 2navuka tu, mkiambiwa maandamano ya katiba mpya mnakula chocho...
mi mzaliwa wa kanda ya ziwa na ni mkazi wa mwanza, kiukweli ulichoandika hakina uongo yote ni kweli kabisa, inauma sana but ndo mwisho wa ccm uku, chuki waliyonayo wakazi wa kanda ya ziwa juu ya huu utapeli wa ****** na jopo lake umeongezeka mara mbili za ilivyokuwa wakati wa uchaguzi wa mwaka...
mi nlishafanya yote hayo unayosema ila niliambulia kusalitiwa mpaka sasa cpendi na cdhani kama ntapenda tena, chako ulichoshika kikiwa kwingine cha wengine. Tena hao wa vyuo ndo nyoko kabisa bola anaefanya kazi,
nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.