Ilikua n maisha kigetogeto skuli asa jamaa akaingia geto akakuta msosi mezan akakaribishwa akachukua maji ili anawe gafla akaingia jamaa mwingingine mara baada ya huyo jamaa mwingine kuingia 2kaona yule aliyekua akichukua maji ya kunawa anayanywa kuuliza kulikon kumbe alikua ametoka kukandamiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.