Anafanya mazoezi kuona kama mifupa imetengemaa. Siyo kwamba ameshapona bado hajaruhusiwa na daktari wake pindi akiruhusiwa kuwa sasa yuko fit atarejea maramoja kama ambavyo amekuwa akisikika anapohojiwa. Huko ulay anakozunguko yuko kwenye mazoezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa ni wewe umemiminiwa hizo risasi ungesemaje? Ana haki ya kusema hivyo na wewe una haki ya kusema unayoyasema. But the truth will remain as a truth and the time will tell.
Ee Mungu timiza makusudi yako haraka kupitia huyu mtumishi wako lissu ili tanzania ipone. Hongera raisi wangu lissu 2020 hata nikifa leo kura yangu nimeshakupigia endelea kuitunza wasije kuiiba hawa tume ya uchaguzi
Dah! Ujumbe na maelezo ya huyo bwana wa tarime vimenigusa sana vinafikirisha nje ya box hakika lissu pona urudi nyumbani watanzania tunakuhitaji kuliko kura ya uchaguzi wa raisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.