Search results

  1. Amakando

    Maisha ni kama mayai yakianguka huvunjika

    Pakea like Kiongozi yani jamaa ana post upuuzi humu umempa za uso,
  2. Amakando

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    Mayo mbii eti smart what? Do you think you are not smart? be caregeous u a smart at u a position than any one usizungumze smartness ya wengine labda kama hujiamini
  3. Amakando

    updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

    Ajabu mpaka sasa polisi wako kimya hakuna aliyekamatwa
  4. Amakando

    updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

    Kuna kikundi cha majambazi wanatembea na boxer waliua jamaa hapa masoko tabata kwa kumpiga risasi,vile vile walimkosa jamaa baada ya kumpiga risasi ikatoboa sikio maeneo ya mlimani city wakachukua hela inasemekana walienda Sinza baa ya Mawela wakaua mlinzi na kuweka wateja chini ya ulinzi...
  5. Amakando

    Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

    Leta picha za ulikofungia ndoa huu upuuzi ondoa!
  6. Amakando

    Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

    Hebu jipange then uje na full evidence, stop nonsense Ludo.
  7. Amakando

    Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

    Tukuamini vp kwamba sio kweli wakati unasema picha ni ya wanandugu? ok kama sio lwaka alisimamia ndoa yako je ni jambo gani lilifanya uchelewe kukanusha? Hebu post picha ukiwa hightable ili tuone ni nani alikuwepo? Then tuonyeahe reception! Thereafer tupia kanisani au kwakuwa ulikuwa hali ya...
  8. Amakando

    Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

    Kama kumbukumbu za kupokea elfu hamsini kwa M pesa zisivyofutika, kumbe umekuwa very cheap tangu unaoa du single walilipa ngapi?
  9. Amakando

    James Mbatia, kama Mulugo

    Mleta uzi ni poyoyo kweli Mbatia anazungumzia vivutio huyu anazungumzia idadi ya watalii du poyoyo kweli
  10. Amakando

    Mbowe: Nimeitwa kwa DCI Manumba

    Sidhani kama Manumba bado ni DCI!
  11. Amakando

    Kukatika kwa umeme Tabata

    Ina maana umekuwa kawaida kuukosa au unamanisha kuwa huwa mnapata umeme kila siku?
  12. Amakando

    Kukatika kwa umeme Tabata

    Kiongozi mie.sina ugomvi na hili shirika kama angalau tungekuwa tumejulishwa ili tujipange lkn kwa stahili hii wanatutia hasira sana.
  13. Amakando

    Kukatika kwa umeme Tabata

    Yani Mkuu hawa watu wa Taneaco sielewi wamelogwa na nani!
  14. Amakando

    Kukatika kwa umeme Tabata

    Wadau, Tangu juzi imekuwa kawaida wakazi wa Tabata jijini Dar kulala bila umeme. Hii imejirudia tena saa hizi eneo hili hakuna umeme kabisa. Tafadhali yeyote mwenye kuweza kutujuza endapo kuna katizo la umeme au mgao tafadhalli.
  15. Amakando

    CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

    Lazima taarifa hizi zichukuliwe kwa tahadhari huenda kuna mpango umepangwa na maadui wa Chadema kumdhuru Mohamed Mtoi au Slaa na Mbowe katika uwepo wa Mohamed Mtoi ambayo mbinu hii itawafanya wananchi waamini propaganda hizi zinazoenezwa na Ludovick.
  16. Amakando

    Taarifa fupi kutoka Serikali ya Wanafunzi

    Mbona kuna kanusho kwamba huyo Mdede si Rais wa Tahliso? Ingia hapa. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/707961-tahliso-watoa-tamko-kali-yasema-mdede-anatumika-new-post.html
  17. Amakando

    James Ole Millya ni mkuu wa wilaya?

    Asante kwa ufafanuzi Kiongozi
  18. Amakando

    James Ole Millya ni mkuu wa wilaya?

    Wadau hii nimeisikia Redio one kuwa Mkuu wa wilaya ya Longido ni James Ole Miliya, ina maana huyu ni yule aliyekuwa amehamia Chadema au ni mfanano wa majina?
  19. Amakando

    TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

    Angalau Steven Kebwe anaongelea mambo ya maana kuliko wengine wote waliotangulia
  20. Amakando

    TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

    Ajabu watu wamevalishwa sare lakini kila wakiambiwa CCM hoye hata wenye sare hawajibu hiyo slogan
Back
Top Bottom