Mayo mbii eti smart what? Do you think you are not smart? be caregeous u a smart at u a position than any one usizungumze smartness ya wengine labda kama hujiamini
Kuna kikundi cha majambazi wanatembea na boxer waliua jamaa hapa masoko tabata kwa kumpiga risasi,vile vile walimkosa jamaa baada ya kumpiga risasi ikatoboa sikio maeneo ya mlimani city wakachukua hela inasemekana walienda Sinza baa ya Mawela wakaua mlinzi na kuweka wateja chini ya ulinzi...
Tukuamini vp kwamba sio kweli wakati unasema picha ni ya wanandugu? ok kama sio lwaka alisimamia ndoa yako je ni jambo gani lilifanya uchelewe kukanusha? Hebu post picha ukiwa hightable ili tuone ni nani alikuwepo? Then tuonyeahe reception! Thereafer tupia kanisani au kwakuwa ulikuwa hali ya...
Wadau,
Tangu juzi imekuwa kawaida wakazi wa Tabata jijini Dar kulala bila umeme. Hii imejirudia tena saa hizi eneo hili hakuna umeme kabisa.
Tafadhali yeyote mwenye kuweza kutujuza endapo kuna katizo la umeme au mgao tafadhalli.
Lazima taarifa hizi zichukuliwe kwa tahadhari huenda kuna mpango umepangwa na maadui wa Chadema kumdhuru Mohamed Mtoi au Slaa na Mbowe katika uwepo wa Mohamed Mtoi ambayo mbinu hii itawafanya wananchi waamini propaganda hizi zinazoenezwa na Ludovick.
Mbona kuna kanusho kwamba huyo Mdede si Rais wa Tahliso? Ingia hapa. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/707961-tahliso-watoa-tamko-kali-yasema-mdede-anatumika-new-post.html
Wadau hii nimeisikia Redio one kuwa Mkuu wa wilaya ya Longido ni James Ole Miliya, ina maana huyu ni yule aliyekuwa amehamia Chadema au ni mfanano wa majina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.