Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
Kwa maisha ya siku hizi kila kitu kimepanda mishahara mbona awaongezei ndio maana ufisadi hauishi,naona serikali ikiongeza mishahara ufisad utapungua kama siyo kuisha.mf.wilaya moja ya CHATO wamechakachua vocha za pembejeo zote watendaji wa vijiji na DALDO,hiyo yote mishahara midogo,naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.