Sio vijijini tu. Hata mijini kuna sehemu kubwa ya watu wanaishi kwa mlo mmoja kwa siku. Ni mapema sana kuongela habari ya smartphone wakati bado nusu ya watu wetu kupata milo mitatu iliyokamili bado. Hawa ndi viongozi wetu wasioijua nchi yetu vilivyo. Sawa na aliyesema kama watu wanaandamana kwa...
Lu
Lukuvi yuko wapi kwanza. Ni ukweli usiopingika kuwa yule ni jumbo. Ardhi aliiweza na baada ya kuondoka madudu yamerudi pale pale. Mama tunaomba mrudishe Lukuvi ardhi.
Acha kupandikiza roho yako ya uoga kwa watu wengine. Kama wewe ni wale wakila wakashiba basi siku imekamilika bila kujali wengine wana hali gani basi wewe kaa kimya, wacha waliozaliwa kwa ajili ya watu wengine wapambane.
Ivi ni kwa nini suala la fungu la kumi limeongelewa na Malaki tu kwenye bible na sikumbuki kuliona kwenye agano jipya. Najiuliza kwanini tuishi kwa sheria wakati tunapaswa kuongozwa na Roho?
Kutoa kwa Roho hakukulazimishi kutoa 10 percent na si kanisani tu bali unaweza kuongozwa kutoa hata...
Ndugai ahojiwe kwani analeta taharuki kwa wananchi. Kitendo cha Spika wa Bunge kusema kuna hatari nchi ikapigwa mnada kutokana na madeni makubwa ni kuleta taharuki kwa wananchi na hivyo ahojiwe na jeshi la polisi.
Spika ni mtu anayejua hadi yaliyofichika ndani ya serikali na hivyo kwa kusema...
Jamani, ieleweke vizuri kuwa hakuna h
Jamani, ieleweke vizuri kuwa hakuna mwanachadema yeyote adiyependa Mwenyekiti kuachiwa. Ila kinachokataliwa na wanachadema ni kumtaka Mh. Rais amsamehe Mwenyekiti kana kwamba Mbowe ni mkosaji tayari au kumtaka Mwenyekiti Mbowe aombe msamaha. Kama ni...
Mfumo wa elimu umeharibiwa tangu zamani labda ungesema akina Ndalichako wangeanza kuuboresha. Walivipuuza vyuo vya kati na kufanya kila Chuo kitoe degree, wakajza nchi na Vyuo vikuu bila kufahamu kuwa ajira nyingi ziko huku kati kwenye viwanda na ajira binafsi ama kujiajiri. Leo hii hata ufaulu...
KaKweli kabisa pamoja familia yake, CDM na Watanzania kwa ujumla. Ili kauli ya Mama iwe na mashiko " Tusahau yaliyopita tuanze ukurasa mpya..."
Kauli ya Mh Rais kuwa tusahau yaliyopita ni maombi ya msamaha kwa kupandisha mabega. Unajua umemjeruhi mtu halafu unamuomba msamaha huku umemfunga...
Chadema imakujaje hapa? Hoja ni kuwa ivi ni halali leo wanasiasa wa upande wa CCM kumpamba Maalim Seif leo kwa uonevu ule waliomfanyia?
Ninadhani wanampongeza kwa kukubali kupokwa haki yake mara tatu akanyamaza na kusalimu amri. Lakini waelewe kuwa kwa kukubali ujinga Maalim Seif amenawa mikono...
Hahaaaa! 🤣🤣 Huyu Nyerere atakuwa alikuwa Raisi wa ajabu na Sokoine mweneyew alikuwa zoba kweli - kwa maneno haya yasemwe hadharani.
Mimi nilikuwa na umri wa miaka 27 na niko Chuoni wakati huo na tena Dar na nilikuwa msomaji sana wa magazeti na kusikiliza radio maneneo haya ya Sokoine sikuwahi...
Mfano ni juzi tu polisi waliuana kule Kilimanjaro kwa visa vya magendo wakatunga uongo kuwa amekufa kwa ajali - nadhani the story went that way. Lakini walipochunguzana baada ya ndugu wa askari aliyekufa kusimama kidete wakagundua kuwa aliuawa na wenzie.
Hii story ya Lindi yapaswa ichunguzwe na...
Hakuna shida. Sisi wananchi tunataka kuona umeme wa uhakika na wa bei nafuu unapatikana. Mwendo unaosuasua wa usambazaji umeme vijijini urudi kwenye kasi yake ya enzi za mwendazake tena bila upigaji.
Miradi mikubwa ya umeme isitetereke, ya Rufiji, Njombe na Makete. Umeme wa gesi utiliwe mkazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.