A-Qaedah..the base kwa tafsiri ya kiingereza ni msingi wa kundi aliouanzisha aka Prince aka Aamir(wapiganaji wake humuita ivyo)Usamah Bin Laden kw ajili ya kupigana jihad ulimwengu mzima.Ukweli ni kwamba Osama amekuwa mafichoni kwa mda mrefu huku Marekani ikiwa imekata mirija yake ya pesa kwa...
tatizo si real madrid kufungwa..tatizo ni amefungwaje?magoli ya messi hayana utata ni safi kabisa.lakini yamepatikana baada ya pepe kutolewa kwa red card.jose mourinho ana historia ya kucheza game 11 na barcelona kati ya hizo 7 amemaliza timu yake ikiwa pungufu.kwa taarifa c mashibiki...
Kwa hakika ni muhimu sana mwanakijiji ukimjibu huyu jamaa juu ya msimamo wako kuhusu zanzibar.Jambo moja ambalo ni la msingi na nataka kukushauri,nenda zanzibar.Ukifika jitahidi ukutane na mzanzibar yoyote wa daraja la kawaida.halafu muulize kuhusu jinsi anavyoiona zanzibar na ni nini anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.