Hii itakuwa sawa tu kama uhamuzi wake ulikuwa ni wa hoja alizozitaja lakini kama nyuma ya pazia ni msukumo na ushawishi wa maslahi binafsi,madaraka,fedha bac hoja zake itakuwa ni gheresha
Mmk sidhani kama unafanya research kabla ya kuandika unajua Revenue ya Mwaka ya Acacia? How can they afford to pay 60bill$ wakati Revenue yao kwa mwaka ni one billion!It will take them 60yrs to pay that bila wao kuchukua chochote. ..is that feasible?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa degree tatu unamtetea mbulura alozungusha form four...yaani darasa la saba...hutakaa kamwe uzungumzie issue ya elimu cause itamgusa...Bashite moja kwa moja
Mtu mkosefu WA akili unaweza amini anayoyasema hayo.watu waliomzunguka nje na ndani ya serikali wanauza unga..lazima aseme kujitutumua kama Kingunge alivyo sema ilhali mwanae ni muuzaji mkuu
Wew unasifia mijizi inayoiba fedha za walipa kodi ambayo ingesaidia baba mamako.unaona fisadi1 mjanja kutumia mgongo WA ikulu kujitajirisha...ulimbukeni mzigo!
du maskini jamaa nafahamu nimesoma naye Rubya Seminary miaka ya themanini alikuwa very smart and then akaja UD na kuwa president wa DARUSO the guy was so smart
mbona hakuna sheria ya kuwakataza mashoga kutumikua jeshi tanzania? Ni ujinga uliokithri kuwanyima watu haki zao kwa sababu tu wamechagua kulala na watu waliowachagua wenyewe! Haya maandiko mnayoyatumia ya kuwakadamiza mashoga hayana nafasi kwa wakatitunaoishi sasa hivi..maadiko hayohayo ndo...
Zito anajulikana kuwa ni mtu amabaye anapenda sifa na kujikomba kwa CCM na mafisadi nani hasiyekumbuka alivyo shabkia ununuai wa mitambo mibovu ya umeme toka kwa mafisadi? Si angeamua tu kwenda CCM thats where he belongs.
[kimsingi hamna sheria yoyote ya nchi au utaratibu wa bunge ulio vunjwa kwa kitendao cha wabunge wa chadema kuondoka bungeni... msimamo wao ni dhahiri kuwa hawamtambui kiongozi aliyewekwa madarakani na Tume ya uchaguzi bila kufuata matakwa ya wananchi...Ususiaji wa bunge si jambo geni wenzetu wa...
Inanisikitisha sana na kuhuzunika nikiwaona watanzania kwa maelfu wakifurika kwenye mikutano ya Kikwete! naomba wajiulize huyo kikwete binafsi kwanza kayaboresha vip maisha yao? je nchi iko bora kuliko alivyo ikuta? Matatizo yote ya uchumi, ujambazi wizi wa fedha ya umma, mabomu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.