Habari wana MMU. Mimi ni kijana wa kiume. Baada ya kujitathimini mimi binafsi, bila kushawishiwa na mtu (external influence) zaidi ya moyo wangu napenda kutangaza wazi kuwa nahitaji mwenza kifupi mchumba binti mwenye umri usiozidi miaka 28 kwa ajiri ya kuanza serious relationship ambayo Mungu...
Mradi watrini upi? ipo mingi kuwa specific
Tuwe na tabia hata ya kushauri sometime baadala ya kulaum kila kitu, wote tunajua udhaifu wa serikali yetu na pia tumeshuhudia namna Mwakiembe alivo lazimisha hata hivyo vichwa viwili kupatikana tumpe mda
tunashukuru mzee kwa maelezo mazuri
Unajua watu wengi wana wrong perception na wachina pamoja na wawekezaji kwa ujumla, wanachujua wachina ni watu wa feki kila kitu. hivi sasa wachina wanatisha dunia kote, makampuni mengi makubwa yanawekeza huko japo hali imeanza kubadilika kidogo kulingana na...
Jamani msiwe na akili za samaki kama masisiemu, ZKK anatumiwa na ccm believe me na yeye alikuwa kitu kimoja na kisandu hadi kutangaza kugombea urais nadhani na yy ndo alimshauri aende nccr
Hebua angalia uhusiano wa mbatia na Jk then Zitto na Jk, Zitto na TISS, Zitto na Rostamu, tazama zitto na...
Una maana serikali ikirudisha hizo huduma zote kwa makanisa na makanisa yakaamua kutoa huduma kwa wikristo tu nyie waislamu mtakuwa na uafadhali wowote?
your dead my friend, nyinyi shukruni hali iliyopo inawasidia sana
Mkuu usijifanye na wewe hujui mambo
1. hebu tuambie what is the role of the government? hasa kwenye elimu na afya
2. imeshaelezwa humo kuwa serikali ilishindwa kuendesha hizo shule na mahospitali hivyo ikaomba msaada na hapo TEC&CCT walikuwa kama development partner tu lakini lazima wawe na...
Hawa waislamu watakufa wanalalamika kwa ujinga wao
Juzi mmeona wenyewe kule Mkuranga jimboni kwa Mlima, wananchi mchana kweupe wanasema wanaona bora kupeleka watoto wao wakasome madrasa na sio shule ya msingi eti shule ya msingi michango ni gharama kuliko madrasa. na Malima aliwambia wachangie...
Hawa waislmu watakufa huku wanalalamika
Juzi weneyewe wamejionea kule Mkuranga jimboni kwa Malima yaani wananchi mchana kweupe wanasema wanona bora kupeleka watoto madrasa kwa sababu hakuna gharama kubwa kuliko shule za msingi kwa sababu ni gharama, muislamu mwenzao malima anawambia changieni...
Kaka hongera sana, naamini hapo hujaeleza namna ulivyosoma, namna ulivyobahatisha hata kupata nauli,,viatu, nguo na pengine hata kutoswa na yule uliyekuwa unampenda na mengineyo.
Mungu atujalie uzima
Jamani nataka kujumua mawig ya wananawake China na kuyauza tanzania kuna mtu aliwahi niambia yanalipa japo saizi ni mda umepita na kibaya aliyenipa hiyo biashara nilipoteza mawasiliano nae, wakati huu nipo nchi karibu na China so kwenda huko haitanigharimu sana kwasababu nataka kwenda kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.