Kwanza kumekuwepo na malalamiko mengi mno kuhusu jinsi mnavyo iendesha jf ya sasa.
Sisi mamember sio wapuuzi kuwambieni nyie panapokuwepo na mapungufu.
Yafanyieni kazi.
Mumeunganisha mada yangu ya "Mods nitoeni humu JF. Futa kabisa acc.." na mada ya baba jay'rose isemayo " ukandamizaji wa huru...
Haipo kwenye policy zao, Cheze ni brand..
Ntawapigia kelele hadi wanitoe. Mi ni mtu huru na nina haki kutoka au kubaki humu.
Lasi hivyo nitahack hii JF hadi washangae.
Ngoja wanichezee..
Minitoe humu nyie moderators tafadhali.
Moderators futeni account yangu, nimewatumia pm
lakini mpo kipya bila kutekeleza.
Nimeangaika namna ya kuifuta bila mafanikio, nimeenda
settings, help hakuna maelezo yeyote.
Kila nikipandisha mada inashushwa siwezi kuwa mnafiki
eti where we dare to speak openly!.
Futeni kabisa hii account...
Lakini isikufanye ukabweteka na kuwa na majungu dhidi ya hao walionacho.
Ndivyo ilivyo Musoma.
Mbona kuna watu wa musoma wanapesa hawaji kuwekeza musoma?
Bishara zinakufa kila kukicha, yule ndugu Mazara sijui yupo wapi na kiwanda cha maziwa na fishpark?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.