Habari za wakati huu ndugu wana jamvi hili.
Napendwa kueleweshwa ni kwa namna ipi ninaweza kupata mafunzo ya utefarii yaani waamzi wa michezo hasa mpira wa miguu kwa hapa nchini.
Napenda kufahamu iwapo kuna vyuo rasmi vinavyotoa kozi au mafunzo hayo au kama kuna mfumo unaofahamika kwa jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.