jamani mliopo Mbeya mtueleze ukweli wa habari kwamba mwenyekiti wa chama wilaya ana kesi ya kubaka mwanafunzi na ameahidiwa na CCM kushinda kesi hivyo basi Shitambala ndio aliyemuwekea dhamana polisi???
Kuna baadhi ya viongozi wa deni, kutokana na mfumo mbovu katika madhehebu yao, wanajikuta wakitetea hata wasiohitaji utetezi, na unapowatetea wanashangaa, maana kweli ni jambo lililowazi kuwa mafisadi hawawezi kujitetea hata kidogo, maana nyaraka zipo na tuhuma zinapotolewa hawajibu maana...
Clement Mshana, sio mtu muwazi na ambaye ataifanye TBC iwe kama Tiddo alivyofanya, kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri huyu Clement Mshana ndie aliyezuia baadhi ya waandishi wa habari kuingia bungeni kurusha hotuba ya raisi mwaka jana, na mwandishi aliyezuiliwa alilalamika sana hata kwa kuandika...
Superman imekaa vyema, mi ntafurahi sana kama hwa jamaa watamlipua Mzee wa Kaya maaana, unafiki wao umezidi ndio maana anaogopa kuwawajibisha watu. Angeweza kuwawajibisha hawa toka mwaka jana mambo yangekuwa poa. Mkuu hawa jamaa hawatapenda sekta ya nishati itengemae maana ni shamba la bibi...
Yupo mjini Dar, anafundisha Tumaini University, unajua siasa ilimponza hasa baada ya kutokuelewa sera ya ndugu Lyatonga, Jingine alipoingia siasa hakuzingatia maadili ya uwakili ndio maana akasimamishwa kufanya kazi ya uwakili kwa uzembe.Ila kwa sasa amerudishiwa lesini yake na anafanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.