Nampenda LOWASSA kwanza mstarabu sana na mcha Mungu, pili mpole na mnyenyekevu sana, TATU anawapenda Watanzania wote katika hali zao zote, nne yuko tayari kutuletea MABADILIKO ya kweli.
Hayo maeneo bolded hayapo, Labda useme Mang'onyi na Dung'unyi Halafu inaonekana umetumwa wewe!
Sasa kwa tarifa yako sisi wanakijiji wa Mang'onyi tunamtegemea Lissu kuwaondoa wale Makaburu wa shanta Gold Mine walivamia mashamba yetu tangu mwaka 2008 hatulimi, mwekezaji hewa yule anawatumia mkuu...
Kama twiga aliweza kuingia kwenye ndege na urefu wake ule, sitashangaa Nyalandu kumiliki kampuni ya utalii tena huenda kampuni yake hiyo inaiba wageni pale tanapa..
Wassira janga la taifa lingine kama ambavyo ulivyo ukimwi...wassira anaweza kazi moja tu..KULALA BUNGENI WAKATI WABUNGE WENZAKE WAKIENDELEA NA MJADALA....
halafu hawa wote wanatokea pale mahambe...pia ukitaka kumwona alute nenda pale blue rock karibu na uwanja wa shekh abeid oposite na golden rose hotel ana kijiofisi pale juu kaweka warembo kibao pale....hahaa huyu jamaaa bwana ni cccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.