suala lamfanyakazi kurejeshwa kazini kwa mujibu washeria ni kutekeleza amri ya CMA. hivyo anapaswa kuwasiliana na mwajiri wake juu ya utekelezwaji wa maamuzi halafu arudi CMA kuwafahamisha kutotekekezwa kwa amri na wao watachukua hatua. chiefkimweri
hii ni kazi ya maafisa masoko wa makampuni husika. kama mteja unakerwa na huduma ya kampuni yako ya simu unaruhusiwa kutoa ushauri kama mdau. lakini kwa njia hii si sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.