Kaa la moto! acha kusema wana sekondari za kata, manake ndo kwanza wapo form six mwaka huu wa masomo. Hao ni wale ambao hawakuwahi kusoma hapa nchini. Hicho ni kizazi cha mafisadi na sio shule za kata.
Kwani kuitwa mme mtarajiwa ni kutongozwa? Mkuu unahitji lecture ya kutofautisha kati ya taarifa na kutogozwa! Kaka hapo umepewa taarifa so act now kadiri ya moyo wako. Be serious man
kwani kuitwa mme mtarajiwa ni kutongozwa mkuu? unahitaji lecture ya kutofautisha kati ya taarifa na kutongoza.
Mkuu hiyo uliyopewa ni taarifa! so take care and act positively kadiri ya matakwa ya moy wako
Umetumia vigezo gani kuhukumu kwamba kakulazimisha? kama kweli unampenda utajitambulisha pasi na shaka kakaa. Ondoa hofu anakuhitaji kwa maisha yake yote, je upo tayari? vinginevyo mwambie ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.